Wizara moja, Mawaziri 7 ndani ya miaka 7: Hivi ni kweli?

liverpool2012

Senior Member
Apr 4, 2012
102
23
Naomba kuuliza hivi ni kweli wizara ya maliasili na utalii imekuwa na mawaziri 7 ktk miaka 7 ya utawala wa kikwete.
 
Hivi Mamkwe hajawahi kuwa waziri wa maliasili chini ya utawala wake?
 
Kama nimemsikia kagasheki kasema saba wakati anakabidhiwa office ya mama mkwe alikupo pale.
 
Ma Mkwe alikuwa Fedha baraza la kwanza.
Nadhani alianguka na Lowasa hakurudi tena.
Alipata kuwa Utalii ngwe ya mwisho ya mkapa, i supose.
Hapo pia mmemsahau Dialo, ndo waziri wa kwanza wa utalii wa Kikwete.
 
"....Hapo pia mmemsahau Dialo, ndo waziri wa kwanza wa utalii wa Kikwete.

Dialo alitaka kuisafisha wizara akakutana na kigogo "Severe" aliyewekwa kwa makusudi maalumu ya kufisadi hifadhi zetu. Badala yake Dialo ndo aka "fyagiliwa" mbali baada ya muda mfupi!
 
Tuwaombee waliopewa hivi punde Balozi na Naibu wake wanyonge hao wadau maana wamesema wao hawatakubali kunyongwa bali watanyonga. Pengine panaweza pakawa pazuri ndugu zangu
 
Dialo alitaka kuisafisha wizara akakutana na kigogo "Severe" aliyewekwa kwa makusudi maalumu ya kufisadi hifadhi zetu. Badala yake Dialo ndo aka "fyagiliwa" mbali baada ya muda mfupi!

na lengo kubwa la kubadili mawaziri wakati ule ilikuwa kumuondoa dialo. Jk hapendi mtu mwajibikaji hata siku moja,maana walishikwa pabaya within a short period of time. Yeye anapenda watu wanaokuja na taarifa za kwamba nyara zimeshaibiwa ili awaite ikulu na kuwaambia lete ulichopata. Hataki wanaosema tumezuia nyara zisiibiwe.
 
Tuwaombee waliopewa hivi punde Balozi na Naibu wake wanyonge hao wadau maana wamesema wao hawatakubali kunyongwa bali watanyonga. Pengine panaweza pakawa pazuri ndugu zangu

hamna kitu,wote wale wale wanajaribu kutafuta sympathy ya umma. Kwani magufuli kaishia wapi zaidi ya kupiga kelele na kuzindua barabara zisizokuwa na fedha kwa ajili ya ujenzi? Kama wewe ni mtendaji mzuri huwezi kukubali kuwa kwenye serikali ya jk zaidi ya kufuata ulaji.
 
Back
Top Bottom