Ktk kikao cha bunge kinachoendelea Dodoma leo ni wizara ya mazingira na wizara ya muungano. Cha kushangaza mwenyekiti wa bunge ametangaza kwamba watajadili leo na kuhitimisha leo leo! Je ni sawa jamani wizara mbili kujadiliwa kwa masaa manne tu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.