YNNAH
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,702
- 969
Baba John aliona mkewe amepunguza mapenzi kwake,na hiyo yote ni baada ya mkewe kujifungua. Baba John akaamua kutafuta sumu ya kumuua mtoto.,akaamka mapema,akampaka mke wake sumu kwenye manyonyo ili mtoto akinyonya afe,akaondoka zake. Aliporudi baadae akakuta aliyekufa ni houseboy!!! Otea nini kilifuatia?