hapo nadhan msaada ni kukuzawadia na ww uwe na mtoto mzuri km wa huyo dada.Gmorning Lizzy
mimi kuna dada namwonea wivu just because ana mtoto mzuri sasa hapo sijui inakuwaje?
Babu heshima kwako
Ulipata divisheni ngapi?
Dah, Wivu sio mzuri!!!
Lakini mi nina wivu sijui!!!
Hebu ngoja nijikague aisee!!!
hapo nadhan msaada ni kukuzawadia na ww uwe na mtoto mzuri km wa huyo dada.
Kuna mambo mengine siyo ya kuhangaika nayo! Hakuna sababu ya kusumbua kichwa chako kwa vitu ambavyo unajua ni impossible! Ni kujitafutia depression bure. Kwa nini mtu usihangaike kufanya yale ambayo yako kwenye uwezo wako?
Halafu weee LD, nina kesi na wewe, tena bab kubwa! Ngoja nikatafute judge ila si wale wazee wa Infi....LoL!!!!
Sasa unamwonea wivu nani? Shoga yako anayetesa na Spacio au? Kama ni wivu wa namna hiyo basi kawahi kikombe Loliondo kwa sababu huyo ni pepo!! Ila kama unalinda mali zako au unataka kuvuta mchuma mwakani basi hayo ni maendeleo na Mzee mstaafu DC anakutakia kila la heri,
Mzee DC!
Dear Lizzy
kuwa na wivu ni sawa kuna wimbo wa zamani unasema
BILA WIVU ATAJUAJE KWAMBA NAMPENDA lakini wivu unapozidi duu kero
kwa upande wa ndugu/marafiki kuwa na wivu wa maendeleo ni wachache
mara nyingi wanakuwa na wivu wa kwanini
badala ya kuniambia nizae kitoto changu unazungushazungusha maneno.Goodmorning dear!Hehehe...sio mbaya ila tu usije ukafikia kumchukia dada wa watu na katoto kake usije ukakaharibu sura bure. Maana ukizidi unaweza ukaanza kuona kama huyo dada anaringa kwaajili ya uzuri wa mtoto wake hata kama sio kweli...na njia pekee kumkomoa ni kuchakachua uzuri wa mtoto!
i find this very ipressive but yuko wapi wa kuzaa naye kwa sasa?hapo nadhan msaada ni kukuzawadia na ww uwe na mtoto mzuri km wa huyo dada.
Sasa huo wa kwanini ndo inabidi tuondakane nao BW!
natafuta mwanaume handsome wa ukweli.Unajua uongo mbaya handsome atanihakikishia kufyatua katito cute.Hehehe ningeweza kukwambia hivyo ila kasipokua kacute kama dada wa watu utaongeza wivu then chuki!
natafuta mwanaume handsome wa ukweli.Unajua uongo mbaya handsome atanihakikishia kufyatua katito cute.
natafuta mwanaume handsome wa ukweli.Unajua uongo mbaya handsome atanihakikishia kufyatua katito cute.
Ulitumia busara kweli BW...ndugu wa aina hiyo wanaweza kusababisha mtafaruku wa ajabu!mie nina ndugu wa damu kabisa lakini hatuelewani kwa sababu ya huo wivu wa kwanini mwishowe niliamua kujiweka pembeni
kuepusha migogoro ya kifamilia