Wivu, wivu wivu aaah, Gari nzuri kuliko ya Boss wako, inakuwa ishu....... asante Lizzy.
Mwambie AD hapo chini anisalimie basi maana nilishaanza kuwa na wivu mieAnasema ananipenda ndo maana!UNARUHUSIWA KUENDELEA!LOLZ
Pole sana. Kuna jamaa tulikuwa naye O-level, yeye alikuwa ni mkali saaana ila alikuwa hataki kutufundisha. Tulimkalia tukamtukana hadi akabadilika. Tulimweleza kuwa yeye akipata A na mimi nikapata F hawezi kufaidi lolote. Ila akitumia nguvu kidogo wakati anafanya mazoezi yake ya kawaida akatusaidia kupata B itakuwa bora kwetu na hatapungukiwa kitu. Huwezi kuamini, timu yetu sote tulifaulu vizuri.
Ila watu wengi huwa tunafikiria kwamba tukiwasaidia wenzetu basi tunapoteza. Ni upuuzi wa hali ya juu. Kama mtu ameumbwa kukupita basi atakupita tu, hata kama hutamsaidia!
Sometimes it wins"Jealousy never wins"
Haya mpendwa...Kwanini usianze wewe?Salamu haiombwi bwana!Alafu fanya haraka kabla nae hajaona wivu!
Sometimes it wins
CPU nimeambiwa wewe hauna wivu hata kidogo:juggle:
CPU nimeambiwa wewe hauna wivu hata kidogo
Sasa kati ya Lizzy na CPU nani mwenye wivu kumpita mwenzake??
Both umbea na uchonganishi yaani hakuna raha kama vile kuchonganisha WIVU:lol::lol:Mmh umbea ama uchonganishi?
Hehehehe...hubby anataka mikono ya wifey imhusu yeye tu na kifua chake kimguse yeye tu.Ndo maana na kupenda..na wivu wako unaniongezea raha!Mi mbona nishamuova teki zamaaaaani.
Imagine hata akisalimiana na mama ake kwa kukumbatiana namfokea