PetCash hauja muelewa mtoa hoja. Mwenzio anazungumzia wivu katika mapenzi wakati wewe unazungumzia wivu katika masuala ya maendeleo. Msome vizuri.Maisha ni kupigania na kupata mafanikio na mafanikio mengine zaidi. Wote tumeumbwa na uhitaji kwa kujitahidi tufanikiwe na kufanikiwa zaidi. Amazing enough tumeumbwa na feelinga za kutaka kuwa sawa kimaisha kwa watu ambao tunaona tuko kwenye level moja. Then again roho ya kustand out from the rest! Unapoona wewe hufanikiwi unahisi hapa pagumu, kisha anakuja mwenzio anapapita unaingiwa na inferiority complex na kuanza kuogopa macho ya watu. It would have been fine if huyo mwenzio asingepavuka, sasa wewe unaona ili iwe sawa kwako ni bora ufanye namna asipavuke.
Ndio maana kama una rafiki na yuko chini kimaisha unamsaidia kupigana ili muwe sawa...akianza kukupita mnagombana because deep down u always want them to be under you.
wivu katika mapenzi ni muhimu jaman...hata kama ni kwa asilimia 1,but kama unampenda kwa dhat mwandan wako..aaaah,kawivu lazima katakuwepo.
mi sijui sina wivu maana hata sijielewi
Salaam zenu wanajamii. Miongoni mwa vitu vinavyotufanya tupendane ni mahaba, ukuruba (feeling to each other) maumbile (beauty), maingiliano ya kimwili (sex), matarajio (expectations) na mengine mengi.
Sasa wenzangu tunapoona wivu juu ya wenzetu wa karibu yaani mke/mume au boyriend/girlfriend huwa tunaona wivu wa kitu gani maalum kati ya vitu vinavyofanya tupendane?
Mmmmmh!
Hapo kwenye bold, tunachoonea wivu ni ile haki yangu ya penzi juu ya yule nimpendae hususan kama kuna dalili ya kuitoa haki hiyo kwa mtu asiye mhusika!!!
Wivu ni udhaifu halafu ni hisia hasi,haujawahi kuleta matokeo chanya wakati au mahali popote!
wivu katika mapenzi ni muhimu jaman...hata kama ni kwa asilimia 1,but kama unampenda kwa dhat mwandan wako..aaaah,kawivu lazima katakuwepo.
Ukipenda daima utajenga dhana fulani ya umilikishi yaani kujenga mawazo ya kana kwamba yule mtu ni wa kwako tu..na haupo tayari kumwona akiwa karibu na mwingine! Wivu upo katika many aspects, si kwa wapenzi tu hata marafiki..
Hapo kwenye bold, tunachoonea wivu ni ile haki yangu ya penzi juu ya yule nimpendae hususan kama kuna dalili ya kuitoa haki hiyo kwa mtu asiye mhusika!!!
Unajuwa HP, kinachonishangaza mimi kuwa kuna wengi wenye wivu kwa watu wao iwe mke au mume lakini huwa wanakwenda kwa watu wengine ambao inawezekana wao wenyewe wanakiri kuwa watu wao wana vitu vizuri zaidi kuliko wanavyovifatia nje. Kibaya ukiwauliza wanakwambia wanawapenda watu wao na inawezekana wanawapenda kweli.