Troo
Member
- Mar 6, 2012
- 41
- 10
Ikiitwa TVT enzi hzo!!!!.....Ulijitokeza Wivu wa Kijinga wa kuona ITV ina Watazamaji wengi....Serikali ikastopisha
Tamthiliya ya THE PASSION kulinda tamaduni ya Mtanzania..kiukweli THE PASSION haikuwa na picha chafu kiasi hicho...
Baada ya ITV kustopisha matangazo ya SERIES hyo ITV wakazama CHIMBO wakaja na La MUJER..wao TVT wakaiga wakaja na Series yao ilikuwa na UCHAFU LIVE njenje Denda Million 8....Ahhh Fresh ikawa kawaida mtu kunyonywa mate ruksa...
ITV wakaendelea na mambo yao! sitaki kugusia mgogoro wa Ze comedy ambao mpaka leo CHANNEL 5 ndio wanaonekana wapo juu(CREATIVITY za SEGMENT zao) utagundua hilo kama siMNAZI...Tukija ktk Mpira wa mguu ITV walikuwa wanatuletea matangazo mengi LIVE ya CHAMPIONS LEAGUE kupitia CFI na AFCON...TBC wakajitia kimbelembele kuhozi matangazo hayo na kuwabania ITV....kiukweli ukiangalia Tamthiliya zinazobamba ALLTIME ni za ITV....
BORA KUWA NA +ve WIVU na sio -ve WIVU Kama wa TBC...Au wadau nakosea ktk hili..No 1 is PERFECT..Unalionaje hili.
Tamthiliya ya THE PASSION kulinda tamaduni ya Mtanzania..kiukweli THE PASSION haikuwa na picha chafu kiasi hicho...
Baada ya ITV kustopisha matangazo ya SERIES hyo ITV wakazama CHIMBO wakaja na La MUJER..wao TVT wakaiga wakaja na Series yao ilikuwa na UCHAFU LIVE njenje Denda Million 8....Ahhh Fresh ikawa kawaida mtu kunyonywa mate ruksa...
ITV wakaendelea na mambo yao! sitaki kugusia mgogoro wa Ze comedy ambao mpaka leo CHANNEL 5 ndio wanaonekana wapo juu(CREATIVITY za SEGMENT zao) utagundua hilo kama siMNAZI...Tukija ktk Mpira wa mguu ITV walikuwa wanatuletea matangazo mengi LIVE ya CHAMPIONS LEAGUE kupitia CFI na AFCON...TBC wakajitia kimbelembele kuhozi matangazo hayo na kuwabania ITV....kiukweli ukiangalia Tamthiliya zinazobamba ALLTIME ni za ITV....
BORA KUWA NA +ve WIVU na sio -ve WIVU Kama wa TBC...Au wadau nakosea ktk hili..No 1 is PERFECT..Unalionaje hili.