WIVU: Maana, faida na hasara zake

Kwanza jiulize ni kitu gani kinakufanya umuonee wivu?
Anazungumza na watu wengine wa jinsia tafauti?
Unaelewa uhusiano wake na hao anaozungumza nao?

Wewe je, una uhusiano na watu hao? Ikiwa ndio, huwaamini
au unahisi mwenzako anakusaliti?

Kwa upande wako, wewe hufanyi anayofanya yeye?
Ikiwa unafanya hayo hayo, kwa nini basi "anye kuku tu
bata akinya uchafu?

Dawa ya kutooana au kupunza wivu:
Jiamini na mwamini mwenzako!
Usitende usilotka utendewe!
Kila mtu hana hatia mpaka itakapothibitika kuwa ni mkosaji.
Inawezekana hayo yote na pia inawezekana ni hisia zako zinakutuma,unaweza ukajiamini but huoni ukijiamini
utakuwa umetoa mwanya wa yeye kutumia ?
 
Wivu lazima utakuwepo kwa namna moja au nyingine, akili yako ujuwe kuitumia vizuri tu pale umeona wivu.
 
Wivu ni moja ya hisia za kiasili za kibinadamu. Huwezi ukazuia vitu au mambo asilia. Kama huwezi kujizuia kuny.a au kukojoa baada ya kula au kunywa, basi hutaweza kujizuia kusikia wivu kwa yule uliye na hisia za mapenzi kwake.
hivi BP(presha) ina tiba?
 
Kuna wivu mzuri na mbaya, wivu mzuri ni ule ambao lengo lake kuu ni kulinda heshima na utamu wa mapenzi yenu. Sasa ili kuepuka wivu huo kufikia hatua ya kuonekana ni hatari inabidi uwe na uvumilivu mkubwa na mwenye busara iliyotulia.
 
Kuna wivu mzuri na mbaya, wivu mzuri ni ule ambao lengo lake kuu ni kulinda heshima na utamu wa mapenzi yenu. Sasa ili kuepuka wivu huo kufikia hatua ya kuonekana ni hatari inabidi uwe na uvumilivu mkubwa na mwenye busara iliyotulia.
Ila wivu kuepukana nao ni ngumu sana,na isitoshe mwingine anakutia wivu ili ajue kiasi gani unampenda
 
Dawa ya wivu........ Fanya kile ambacho wewe ukifanyiwa utafurahi..... Usifanye kitu ambacho hata wewe ukinyiwa hautafurI..... Mwisho JIAMINIIIIIIIIIIIII na UMUAMINI ULIYENAYE KATIKA MAWASILIANO
 
Hivi kuna namna ya kuzuia usipatwe na wivu wa mapenzi?unapokuwa na wivu wa kimapenzi kwa mtu ni
dalili ya kuwa unampenda mtu,sidhani kama utakuwa na wivu kama hujampenda mtu.Wivu husababisha
mtu kufanya maamuzi mabaya ambayo yanaathari na anaweza kujutia baadaye....hebu tusaidiane kama
kuna namna au jinsi ya kutibu wivu au kujiepusha na wivu.

njia inayowezekana kwa wewe kuacha wivu kwa mtu unayempenda ni wewe KUFA!(R.I.P)nadhani nimeeleweka!
 
Inawezekana hayo yote na pia inawezekana ni hisia zako zinakutuma,unaweza ukajiamini but huoni ukijiamini utakuwa umetoa mwanya wa yeye kutumia ?
Unakusudia kusema unataka kumlinda mwenzako?
Utawezaje? Uko naye pamoja muda wa masaa mangapi kati ya masaa 24 kwa siku au 12 ya mchana?
Kinyume chake, ikiwa utatumia wwivu, kulindanalindana na kushutumiana, mwisho inaweza kuwa unamuagiza afanye lile usilotaka.

Haya mambo ya wivu yakizidi, mwisho huzaa gubu. Maswali kama "Yule nani?" "Mbona hamwishi kuzungumza", "Yule ni mwanamme/mwanamke wako", "ulikuwa wapi?", "Kwa nini umechelewa"... Vyovyote utakavyojibiwa hutokubali kwa sababu tayari unayo jawabu yako kuwa "unadanganywa".

Kero, gubu likizidi, nyumba haina amani, shutuma moja kwa moja hata kwa lile lisilotendwa, kwa nini asitumie fursa hiyo wakati wewe mwenyewe ndie "uliyempa" huyo mwanamme/ mwanamke?
 
tatizo unajikuta umefanya maamuzi mabaya
Tazama point yangu nyuma nimesema nini ujuwe tu kutumia akili.....Si ndo siku zote ukitaka kumjua mtu ana akili nzuri utamjua pale yuko kwenye mahamaki yake au Mawivu yake akijua namna ya kuyacontrol mahamaki/ mawivu basi ujuwe kisha pass hapo katika maisha yake :biggrin:
 
Ila wivu kuepukana nao ni ngumu sana,na isitoshe mwingine anakutia wivu ili ajue kiasi gani unampenda

Ndo maana nikatangulia kusema inahitaji uvumilivu na busara nyingi kuweza kuushinda, kwanza jikubali kuwa sasa uko ktk wivu mkali, tulia na ujiulize je mtazamo wako juu ya hali au mambo yanayopelekea hisia hizo yatajenga au kubomoa uhusiano wenu? Angalia mambo ambayo mpaka wakati huo vimekuonyesha kuwa mpenzi wako anakupenda na kukuthamini na ni vigumu kukusaliti angalia mazuri usitafute mabaya. Kama utaona kuwa mwenendo fulani au tabia fulani husababisha hali ya wivu jitahidi kubadilika.
 
hivi BP(presha) ina tiba?

Duh......best tayari unayo nini? inatibika kwa kuepusha uchungu mkali ndani ya moyo, mi si doc lakini siamini kama kuna dawa ya hosp au kikombe inaweza tibu hii kitu ila ni wewe kuwa na huru mda wote.
 
Duh......best tayari unayo nini? inatibika kwa kuepusha uchungu mkali ndani ya moyo, mi si doc lakini siamini kama kuna dawa ya hosp au kikombe inaweza tibu hii kitu ila ni wewe kuwa na huru mda wote.
dah mi sina BP hata kidogo.....ila nina wivu wa kutosha
 
Ndo maana nikatangulia kusema inahitaji uvumilivu na busara nyingi kuweza kuushinda, kwanza jikubali kuwa sasa uko ktk wivu mkali, tulia na ujiulize je mtazamo wako juu ya hali au mambo yanayopelekea hisia hizo yatajenga au kubomoa uhusiano wenu? Angalia mambo ambayo mpaka wakati huo vimekuonyesha kuwa mpenzi wako anakupenda na kukuthamini na ni vigumu kukusaliti angalia mazuri usitafute mabaya. Kama utaona kuwa mwenendo fulani au tabia fulani husababisha hali ya wivu jitahidi kubadilika.
daaah basi usiwe unanitia wivu
 
dah mi sina BP hata kidogo.....ila nina wivu wa kutosha

Sasa chunga isikupate kwa kupunguza wivu sitachelewa kulia mimi hahahaaa.....Epuka kutaka muda mwingi kuwa pamoja, maana hata yeye anahitaji muda wa kuwa na faragha yake japo nusu saa kwa siku, epuka maswali ya ulikuwa unafanini, ulikuwa nani, usihangaike na simu yake, kuna mengi sana ya kuepuka mi nilikuwa na wivu balaa nashukuru mungu ninaweza kucontrol kwa kiwango kikubwa sana.
 
dawa ya wivu nikuachaa kufata mambo ya tayo kupelekea kuwaaa na wivu,mfano usipende kushikaa walaa kupokea au kusoma ujumbe wa simu wa mwezako,pilii muamini kwambaa hawezi kukufanyia ubaya/kusaliti mausiano yenu mfano,mnaenda kwenye part mahali unamuona anacheka na watu ambao huwajui kwa furaha na burudani,ukapanic..COOL YOU TEMPAAA DOWN
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom