harrysonful
Member
- Oct 27, 2010
- 34
- 0
Ni ujinga na upumbavu kulifumbia suala hili macho..nchi haiamini uchawi kwanini watu wanapata muda ktk vyombo vya habari kutangaza upuuzi.. Mzee wa east africa aliposema anawasiwasi mwenzao kafa wamemtia nguvuni na press conference juu tena kwa mbwembwe na kova akiwepo..sasa yeye ni nani mpaka asikamatwe tena kwa kutishia mgombea wa uraisi?