Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Katika kila jambo ushahidi ni muhimu,mkinipa ushahidi kuwa hafai mkaweka na source hapana shida atatolewa tu, ila na ninyi mmetumia vigeznw gani kujichagua!?? au ndo mnataka muanzishe uhusiano kinyume na mashart ya kamati!??
Hawa waliojichagua na mimi mmh!
Incase ndiyo wachaguliwe huyo Sweetlady atapona ?
Sio biashara ya kwenda kuficha nyama kwenye banda la Mbwa ?