minda
JF-Expert Member
- Oct 2, 2009
- 1,068
- 65
wakuu,
kutokana na jinsi uchaguzi 2010 ulivyopelekea kutokea kwa matukio ya arusha; ambayo pia yanaakisi hali halisi ya yanayojiri nchini tanzania; ninayo heshima kupendekeza kuanzishwa kwa jukwaa la siasa za arusha kwa mod(s) na kuomba kuungwa mikono na wakuu wote weledi na wenye mapenzi mema na nchi yetu.
nawasilisha!
kutokana na jinsi uchaguzi 2010 ulivyopelekea kutokea kwa matukio ya arusha; ambayo pia yanaakisi hali halisi ya yanayojiri nchini tanzania; ninayo heshima kupendekeza kuanzishwa kwa jukwaa la siasa za arusha kwa mod(s) na kuomba kuungwa mikono na wakuu wote weledi na wenye mapenzi mema na nchi yetu.
nawasilisha!