Mlalahoi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2006
- 2,182
- 883
- Thread starter
- #41
.....hivi hapa ni muafaka gani umefikiwa?? au ilikuwa ni thread tu ya kuongeza namba za thread?
Ndio tatizo hilo,Mkuu.Kuna wenzetu priorities zao ni wingi wa posts bila kujali contents za wanacho-post.That's why inakuwa vigumu kufikia conclusions kwenye baadhi ya hoja au mada.Hebu angalia ile ya madai kuhusu kufeli kwa Mbowe inavyozidi kuwa ndefu ilhali kinachoongelewa humo ni more than questionable.Anyway,tunawapigia kelele wanasiasa kwa kuendekeza maneno mengi bila vitendo wakati sie wenyewe tunakuwa wazito kufanya kinyume cha hivyo.Ndio JF hiyo!