Wito kwa kina dada wenzangu:- Nilidanganyika, nikatumia kanuni ya P. M. U, sasa NAJUTA

Jamani watu mnaoshauri atoe eti ili aenjoy life! It means you don't take life as a gift from God and cherish it..Nyie mnaona kwa sababu a woman can be impregnanted at any due time basi ni mchezo wa bahati nasibu! mmesahau kwamba kuna wengine wanajaribu wanashindwa- wala hamjiulizi ni kwa nini? Mkiwafikiria matasa walioomba miaka nenda rudi wakakosa watoto na hata wengine wakazaa katika hali tata, mnafikiri Mungu alitaka kuprove nini? God forgive, me ila naona whoever takes life for granted is not worthy living
 
Mungu anakupenda binti, sauti ya watu Ni sauti ya Mungu. Ninatabiri, una mtoto a takahe wasaidieni si ww na babake tu, bali atalisaidia taifa zima kupitia CDM. Baba yake atanufaika zaidi kwani utamhurumia sana. Atachoka mbaya.
 
kazi kweli kweli, wa kukuoa wala haitaji mimba....wakati ukifika ataamua tu lile limpendezalo...lea mtoto wako Gilesi,unaweza na Mungu akusaidie!
Jamani mnamlazimisha azae, mnajua uwezo wake wa kulea hiyo mimba na mtoto atakaye zaliwa?Kama mwenzako kakataa na huna uwezo, nakushauri toa mimba.Usiwasikilize watu hapa zaa, zaa utajuta, wengi wa kinamama wanaokuanbia hapa wametoa mimba si chini ya tatu.Shauri yako kulea kazi usawa huu, usije kutuongezea watoto wa mitaani bure!
 
Dada Umekosea Sidhani Kama Vitabu Vya Mungu Vinakubaliana Na Mchezo Ulio Ufanya Yanh Kupata Mtoto Kabla Ya Ndoa Ni Jambo Ambalo Lipo Kinyume Na Maadili Ya Mungu Jalibu Kumuomba Mungu Msamaha Pia Pole Sana Dada Angu
 
Jamani PMU ni pata mimba uolewe.
Nimedanganyika mwenzenu mie, nina mimba ya miezi miwili, namwambia mheshimiwa juu ya huu mzigo, na kuanza michakato ya ndoa.
Cha kusikitisha bwana kaka ananijibu, eti mie sina sifa za kuwa mkewe, ila nina sifa za kuwa girlfriend tu.
Hivi sasa kichwa chaniuma, najiuliza NIZAE AU NITOE, sipati jibu.
Umeniaibisha sana
 
Huu ndio ujinga wa baadhi ya wanawake wa kudhanik uwa kubeba mimba ni tiketi ya kuolewa. uamuzi unao mwenyewe kusuka au kunyoa. Kutoa mimba ni kweli ni dhambi ila umefanya dhambi ngapi kama hiyo ya kuzini na kubeba mimba? Asikudanganye mtu dhambi ni dhambi hakuna dhambi ngodo na kubwa. Ukiamua kutoa toa kwa raha zako na ukiamua kuzaa, zaa kwa raha zako kwani kila kimoja kina faida na hasara zake. La maana fanya "cost benefit analysis" na kama faida za kuzaa zinazidi na kutoa, basi zaa na kama ni vinginevyo toa.Nakutakia CBA njema na yenye kuongozwa na roho wa Mungu ufikie maamuzi mema kwa nafsi yako
 
Tunza mimba ukisha zaa niletee mtoto ntamlea, lkn jitahidi msiwe wazembe tena!

Mkuu unatakiwa utangulize matunzo ya kulea mimba kwanza, Gharama za clinic e.t.c eti tunza nletee ntamuoa hahaha
 
Alafu wengi mko hivyo, Na mimi Gf wangu naenda nae kavu na kanang'anganiza ndoa kila kukicha. Nikiona ghafla kawa mkarimu mara kanijia ananukia anataka ile kitu najua mtego ninasepa nahisi wakati wowote atakuja nnasa. Tarehe zake zenyewe hazitabiriki ishuuuuu yaaani.....

Ikijatokea siku kanijia na habari kama yako kwamba anaujauzito
 
Tumekuwa wapenzi kwa mwaka na miezi sasa, nikadhani nikinasa basi itakuwa rahisi kwa mwenzangu kutangaza ndoa

wewe uliikosea kanuni wenzio wakishakubaliana kuoana ndiyo kabla ya ndoa hutanguliza mimba! Tena wanaume ndiyo hupanga hiyo mimba ili kujipa uhakika kama kweli kila kitu kipo powa! Any way usimuue huyo kiumbe!
 
Hujaolewa unazini na mchumba? Dhambi ya kwanza umezini, dhambi ya pili umeshafikiria kuua kwa kutoa mimba. Utaishi bila amani maisha yako yote, mzinifu wewe.
 
Mbona amekuweka wazi , lea mimba kwan huwez jua nini hatma ya mahusian au maelewano. anaweza kubadili maamuz siku za uson. ila pole kwa mawazo tata kwan ushaonyesha udhaifu mkubwa katka maamuz mbna unalazimisha ndoa kwa ajili ya mimba. umeshatengeneza nafasi ya masimango.
 
pole. ila jifunze kutokana na makosa. kama mmeshidwa kutumia mbinu mbadla had hal hyo nawahurumia wote
 
Penda maisha.
Keep the baby.
Kama utashindwa mtunza akizaliwa just contact me,Utukufu wa kulea watoto waliokataliwa.
LIFE IS WORTHY LIVING BECAUSE JESUS LIVES.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom