Wito kwa John Mnyika na wenzake!!

KadaMpinzani

JF-Expert Member
Jan 31, 2007
3,715
86
Mnyika, naomba upokee ushauri wangu huu na utimize ninachokuomba.

Kijana kwa kweli kwa muda mrefu sasa umekuwa ukipush kuhusu baraza la vijana taifa, kitu ambacho kinanishawishi kwamba hiyo ni early symptom ya uroho wa madaraka at a young age. At any point, i have never seen any relevance to your request as to why tuwe na baraza la vijana.

My opinion:
Kwa kuwa misaada inaelekea/ishaanza kusitishwa na wahisani, ningependa kukushauri kijana uwe makini na at least ujishughulishe na ukulima. Wewe kila siku umezoea kukaa vijiweni na kupiga soga, ebu imagine kwa siku ungelima heka ngapi za mpunga ? kama kulima huwezi, take a look at the second option, uvuvi. Kama kweli tutaweza kupunguza kijana mmoja katika "kila kijiwe" tanzania then i guarantee you maendeleo yatakuja tupende tusipende. Sasa kwa kuwa wewe umekuwa mstari wa mbele kuongelea masuala ya vijana, ningependa uwe mfano kwa vijana, (acha kukaa vijiweni, kucheza bao na kunywa kahawa na kashata) na uingie msituni. Inasikitisha sana kwamba kuna mashamba kibao tanzania, na kipindi cha msimu wa mazao, hayo mazao huoza.

YOU CAN DO IT MNYIKA.
BEBA JEMBE NA UELEKEE SHAMBA.
WENGINE TUTAFUATA.
 
Duh Kada si mchezo unajua nakufananisha na character kwenye THE WIRE aitwae BOODIE esp pale anapo kupa PANDEMIC...PAAAANDEMIC

jdwilliams.jpg
 
GT, mashamba yanahitaji wakulima mzee. i think you should be included too.
 
Duh Kada si mchezo unajua nakufananisha na character kwenye THE WIRE aitwae BOODIE esp pale anapo kupa PANDEMIC...PAAAANDEMIC

jdwilliams.jpg

otea na wewe nakufananisha na nani ?
rick_james,0.jpg

rick james !

Rick-James-2007.jpg


na msemo wake mwenyewe, am rick jaaaames *itch !
 
Mnyika, naomba upokee ushauri wangu huu na utimize ninachokuomba.

Kijana kwa kweli kwa muda mrefu sasa umekuwa ukipush kuhusu baraza la vijana taifa, kitu ambacho kinanishawishi kwamba hiyo ni early symptom ya uroho wa madaraka at a young age. At any point, i have never seen any relevance to your request as to why tuwe na baraza la vijana.

My opinion:
Kwa kuwa misaada inaelekea/ishaanza kusitishwa na wahisani, ningependa kukushauri kijana uwe makini na at least ujishughulishe na ukulima. Wewe kila siku umezoea kukaa vijiweni na kupiga soga, ebu imagine kwa siku ungelima heka ngapi za mpunga ? kama kulima huwezi, take a look at the second option, uvuvi. Kama kweli tutaweza kupunguza kijana mmoja katika "kila kijiwe" tanzania then i guarantee you maendeleo yatakuja tupende tusipende. Sasa kwa kuwa wewe umekuwa mstari wa mbele kuongelea masuala ya vijana, ningependa uwe mfano kwa vijana, (acha kukaa vijiweni, kucheza bao na kunywa kahawa na kashata) na uingie msituni. Inasikitisha sana kwamba kuna mashamba kibao tanzania, na kipindi cha msimu wa mazao, hayo mazao huoza.

YOU CAN DO IT MNYIKA.
BEBA JEMBE NA UELEKEE SHAMBA.
WENGINE TUTAFUATA.

UMEKAPA USHAURI MZURI ILA KABISHI SANA NIKASHAURI MAMBO YA SHULE KAKAKATAA.

NA SIKU HIZI HAKAPATIKANI SANA HAPA ILA NI KATIIFU HAKAINGII NA KANZU NYINGI KAMA ZA KINA MWANAKIJIJI,ANAKUJA NA KOBA, MADELA NA SASA BEN.AU ANAVAA BAZEE NA KUJIFANYA MWAFRKA WA KIKE(ANAIGA MAMBO YA KIKE NI HATARI).

NA KUNA MWINGINE ANAVAA KANZU YA FUNDI MCHUNDO, MWANASIASA AU BAZEE LA ASHA ABDALLAH.

NAONA KATAKUSIKILIZA.KAMEONA UBUNGO ANATAKIWA MTU MWENYE DIGRI (JIMBO LA UDSM) NAKO HAKANA ELIMU KAMA MBOWE NA MWANAKIJIJI,KAMEKOSA CONFIDENCE.
SIJUI KWANINI WASIMPE KITILA PALE UBUNGO
 
ebu soma hii kuhusu bosi wake kwanza halafu ndio utajua kwa nini hawashindi LAKINI WAO USUAL EXCUSES ZAO NI KWAMBA WANAIBIWA KURA !

"Freeman Mbowe, 44, a businessman and upcoming politician, is among the popular figures in the country. He is chairman of Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA - Party for Democracy and Development).

Mbowe, who holds a diploma in education, served as a member of parliament from 2000 until July 2005, when the house was dissolved to pave way for the 30 October 2005 general elections."

Ilibidi niweke alama nyekundu katika hayo maandishi kuhusu elimu yake!!

ALSO KAMA UTAGUNDUA PROFESHENI YAKE ILIYOTANGULIWA NA KUPEWA KIPAUMBELE NI "BUSINESSMAN".....This gives me a lot to worry about !


Wenzake CV zao zimependeza yeye yake imejaa kiza !

Ibrahim Lipumba, 56, a former professor of economics at the University of Dar es Salaam, is running on the ticket of the main opposition party, Civic United Front (CUF), of which he is the chairman.

He is making a third attempt for the presidency, after losing the race to outgoing Benjamin Mkapa in 1995 and 2000.

Lipumba was born in 1952, in Tanzania's central region of Tabora. He holds a doctorate degree in economics. Before entering politics, he had a 19-year academic career with the University of Dar es Salaam. At one time, Lipumba served as economic adviser to Tanzania's second president, Ali Hassan Mwinyi (1985-1995).

Kitila Mkumbo una cha kusema hapo tajiri ??
 
NA KUNA MWINGINE ANAVAA KANZU YA FUNDI MCHUNDO, MWANASIASA AU BAZEE LA ASHA ABDALLAH.

Hehe hehe hehe hehe

Asha nimekuwa almaarufu siku hizi. Hata Chinga anijua ati. Kwa anayetaka kuonana nami nikiwa jang'ombe au hapa dsm aniandikie tu ashabdala@yahoo.com.

On a serious note: Hivi Zitto, Mnyika na Eric Ongara mbona hatuwaoni humu? Kuna mtu ana namba zao tuwaite waje kuchangia mambo haya? Mbona wapo kimya jamani!

Ile thread ya UDHURU iko wapi eti, ule mtindo wa kuagana ulikuwa mzuri. Ulikufa?
 
OOOOSH! I DIDN'T KNOW.......KUMBE MBOWE ANA DIPLOMA IN EDUCATION..........YAANI MWALIMU....!......Anyway amesoma chuo gani......LAKINI TITLE YA UALIMU NASIKIA HUA HAIISHI....JE HUWA INAMEZWA NA TITLE YA BIASHARA....! MWALIMU MBOWE MBONA HUWA HUTETEI WALIMU WENZAKO?
I DOUBT WITH YOUR CREDIBILITY...!
 
OOOOSH! I DIDN'T KNOW.......KUMBE MBOWE ANA DIPLOMA IN EDUCATION..........YAANI MWALIMU....!......Anyway amesoma chuo gani......LAKINI TITLE YA UALIMU NASIKIA HUA HAIISHI....JE HUWA INAMEZWA NA TITLE YA BIASHARA....! MWALIMU MBOWE MBONA HUWA HUTETEI WALIMU WENZAKO?
I DOUBT WITH YOUR CREDIBILITY...!

Mahesabu piga mahesabu jamani, au umeingia chingamania?

Elimu ya Mbowe aliitangaza rasmi kwenye kipeperushi chake cha kampeni na mahojiano na vyombo vya habari.

Hiyo anayoleta kada hapa ametoa kwenye sources zake zisioaminika, zenye kupotosha. Lengo lake, MBOWE AONEKANE MWONGO.

Ndio Kada huyo.

Ya Mbowe yameshajadiliwa sana huko nyuma mpaka Chinga na Kada wakakimbia.

Sisi wengine tuliyakuta hapa wenyeji wameshayajadili. Mahesabu mwenzangu, hebu soma kwamba yaliyojadiliwa nyuma upige mahesabu.

I luv ya

Asha
 
Mahesabu piga mahesabu jamani, au umeingia chingamania?

Elimu ya Mbowe aliitangaza rasmi kwenye kipeperushi chake cha kampeni na mahojiano na vyombo vya habari.

Hiyo anayoleta kada hapa ametoa kwenye sources zake zisioaminika, zenye kupotosha. Lengo lake, MBOWE AONEKANE MWONGO.

Ndio Kada huyo.

Ya Mbowe yameshajadiliwa sana huko nyuma mpaka Chinga na Kada wakakimbia.
Sisi wengine tuliyakuta hapa wenyeji wameshayajadili. Mahesabu mwenzangu, hebu soma kwamba yaliyojadiliwa nyuma upige mahesabu.

I luv ya

Asha

sio kweli, sijakimbia nipo hapa ! waliokimbia ni JOHN MNYIKA na mwenzake FREEMAN AIKAELI MBOWE.

Kwa nini nasema hivyo ?
Wote hawa ni wanachama wa JF, na wanajua fika kwamba kuna maswali na vitu waje waclear na ndio maana hawaonekani jiiii hadi leo, sasa hapa unasema nani kakimbia ?

Kama kweli nimekimbia, usingeniona hapa, kwa hiyo hiyo ni argument hewa maana nipo hapa for the last 4 days, na kitu kimoja lazima uelewe ni kwamaba KILA NIKIRUDI JF BASI MNYIKA HUTOWEKA na NIKITOWEKA JF BASI MNYIKA HURUDI, hujiulizi kwa nini ??

Na mbowe kutoa elimu yake jukwaani, sawa tunakubali ! kwa nini basi usituambie hapa tena kwa faida ya wote kiwango cha elimu ya juu mbowe alichofikia ??
 
sio kweli, sijakimbia nipo hapa ! waliokimbia ni JOHN MNYIKA na mwenzake FREEMAN AIKAELI MBOWE.

Kwa nini nasema hivyo ?
Wote hawa ni wanachama wa JF, na wanajua fika kwamba kuna maswali na vitu waje waclear na ndio maana hawaonekani jiiii hadi leo, sasa hapa unasema nani kakimbia ?

Kama kweli nimekimbia, usingeniona hapa, kwa hiyo hiyo ni argument hewa maana nipo hapa for the last 4 days, na kitu kimoja lazima uelewe ni kwamaba KILA NIKIRUDI JF BASI MNYIKA HUTOWEKA na NIKITOWEKA JF BASI MNYIKA HURUDI, hujiulizi kwa nini ??

Na mbowe kutoa elimu yake jukwaani, sawa tunakubali ! kwa nini basi usituambie hapa tena kwa faida ya wote kiwango cha elimu ya juu mbowe alichofikia ??

Kada unatudanganya, na ushahidi umo humu humu wa tarehe ati. Ni wewe uliyewakimbia Zitto kabwe na John Mnyika humu. Ukapotea kwa miezi mingi tu, wao wakiwa wanaendelea kuchangia. Wako wakaacha kuchangia baadae sana. Ndio maana nasema waitwe, mwanakijiji huna namba zao? ya Zitto iliyomo kwenye kitabu cha bunge haipatikani. Mnyika namba yake aliyoweka humu naye nampigia hapatikani. Mbowe nimeona kwenye kumbukumbu ya post zake humu ameandika mara chache sana. Sio mwanachama hai kabisa.

Hivi kwanini kada ulitoweka jamani?

Asha
 
Kada unatudanganya, na ushahidi umo humu humu wa tarehe ati. Ni wewe uliyewakimbia Zitto kabwe na John Mnyika humu. Ukapotea kwa miezi mingi tu, wao wakiwa wanaendelea kuchangia. Wako wakaacha kuchangia baadae sana. Ndio maana nasema waitwe, mwanakijiji huna namba zao? ya Zitto iliyomo kwenye kitabu cha bunge haipatikani. Mnyika namba yake aliyoweka humu naye nampigia hapatikani. Mbowe nimeona kwenye kumbukumbu ya post zake humu ameandika mara chache sana. Sio mwanachama hai kabisa.
Hivi kwanini kada ulitoweka jamani?

Asha

what more can you say ?!! thanx for the info. Kamwe sikukimbia, nilikuwepo humu kama kawaida ila nilikuwa sichangiii, nilikuwa naingia kama kawaida. Je hao akina Mnyika,Zitto na Mbowe wanaingia humu ? if so, wanachungulia juu kwa juu LAKINI NAJUA WANAJUA HAWATAKI KUJA KUJIBU maswali !

Mmefikia wapi chadema kusaini mikataba kuendesha chama ? Aliyesaini huyo mkataba nani ? Naibu katibu mkuu wa vijana taifa (MNYIKA), naibu katibu mkuu (ZITTO), katibu mkuu(SLAA) au mwenyekiti taifa (MBOWE) ?? they screwed up big time !
 
what more can you say ?!! thanx for the info. Kamwe sikukimbia, nilikuwepo humu kama kawaida ila nilikuwa sichangiii, nilikuwa naingia kama kawaida. Je hao akina Mnyika,Zitto na Mbowe wanaingia humu ? if so, wanachungulia juu kwa juu LAKINI NAJUA WANAJUA HAWATAKI KUJA KUJIBU maswali !

Mmefikia wapi chadema kusaini mikataba kuendesha chama ? Aliyesaini huyo mkataba nani ? Naibu katibu mkuu wa vijana taifa (MNYIKA), naibu katibu mkuu (ZITTO), katibu mkuu(SLAA) au mwenyekiti taifa (MBOWE) ?? they screwed up big time !

Ndio kukimbia kwenyewe huko! Ulitoa hoja. Wakakujibu. Ukaa kimya. Ukawa unasoma tu kama mwenyewe ulivyosema. Kwa hiyo ulikimbia mpenzi.

Sasa kwanini ukawa unasoma tu?

Halafu unanipotezea muda hapa. Mi nataka nijadili ile mada ya Waziri Masha.

Na kwanini Nchimbi amewatishia Tanzania Daima kwa kumwambia 'muosha huoshwa'?

Mbona hayo huyajadili jamani?

Tazama kwenye tovuti ya CHADEMA utajua wakina nani walisaini mkataba wa ushirikiano wa vyama kwa vyama vyote vinne

Asha
 
Ndio kukimbia kwenyewe huko! Ulitoa hoja. Wakakujibu. Ukaa kimya. Ukawa unasoma tu kama mwenyewe ulivyosema. Kwa hiyo ulikimbia mpenzi.

Sasa kwanini ukawa unasoma tu?

Halafu unanipotezea muda hapa. Mi nataka nijadili ile mada ya Waziri Masha.

Na kwanini Nchimbi amewatishia Tanzania Daima kwa kumwambia 'muosha huoshwa'?


Mbona hayo huyajadili jamani?

Tazama kwenye tovuti ya CHADEMA utajua wakina nani walisaini mkataba wa ushirikiano wa vyama kwa vyama vyote vinne

Asha

Hapana, sikukimbia ! nitakaa na kauli yangu KWAMBA SIKUKIMBIA. Sikuwa na hoja yoyote ya msingi ya kuandika wala kujibu HIVYO NILIONA BUSARA KUKAA KIMYA,(nafikiri hapa niliunga mkono signature ya invisible) zaidi ya yote SIKUWA NA SHUTUMA ZA KUJIBU.... MBOWE na MNYIKA they do ! waje na wajibu !

Lastly, sidhani kama nakupotezea muda kwa maana ni hiari yako wewe binafsi ujibu au usijibu. Ukikaa kimya sidhani kama kuna mtu atakayekugongea mlango nyumbani kwako na kukupeleka polisi, hivyo huo muda unajipotezea mwenyewe ! Kuhusu kujadili mambo ya waziri Masha, you absolutely have the right and choice to do so, lakini i will say what i believe and think is relevant !

Hayo ya Nchimbi kutisha tanzania daima aka gazeti la mbowe/chadema, i cant speculate anything or justify your statements,whether they are true, false or propaganda agenda ! lakini kama una evidence nawashaurini muende polisi na pia unaweza kuanzisha thread yake peke yake maana hii ni thread tofauti na kama wakuu walivyosema kwamba mtiririko ukiwa sivyo ndivyo utakuwa banned, natumaini utafuata walichosema !
 
GOOGLE na YAHOO nani mzee namwenye experince?

Hata hivyo nani zaidi?

IBM na DELL nani kijeba?

Lakini kwenye mauzo nani zaidi?


Masha ana experience gani kumfanya awe waziri wa mambo ya ndani?
Kubebwa na Mafisadi na kufisadi?

Acheni zenu.
 
GOOGLE na YAHOO nani mzee namwenye experince?

Hata hivyo nani zaidi?

IBM na DELL nani kijeba?

Lakini kwenye mauzo nani zaidi?


Masha ana experience gani kumfanya awe waziri wa mambo ya ndani?
Kubebwa na Mafisadi na kufisadi?


Acheni zenu.

Mbowe ana experience gani kuwa mwenyekiti taifa chadema ? ana experience gani kuwa rais ? what has he really accomplished to be all that ?

Ufisadi wa mbowe si ndio huo huo utakaowapaka matope akina zitto, mnyika, slaa na wengine ! au huoni hilo mkuu ?
 
Back
Top Bottom