Nimekaa nikawaza kwamba kwa wale wahandisi tuliomaliza UDSM na wengine watakao penda kujiunga/kushiriki tujipange tuanzishe walau ka kampuni kadogo ka ufundi ili tuweze kukopa pesa benki na kuzalisha japo simple wind mills ambazo tunaweza kuzitumia ku-generate umeme na hata kusukumia maji vijijini.
Sijawa na proposal as such lakini ni wazo tu na siyo wind mills peke yake we can produce so many engineering products lakini lazima tuwe na kitu cha kuanza nacho. Ingawa kwa sasa sipo bongo lakini walioko jamani tuanze sasa.
We have to show that we gained something from the then FOE.
Sijawa na proposal as such lakini ni wazo tu na siyo wind mills peke yake we can produce so many engineering products lakini lazima tuwe na kitu cha kuanza nacho. Ingawa kwa sasa sipo bongo lakini walioko jamani tuanze sasa.
We have to show that we gained something from the then FOE.