Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 159
- Thread starter
- #41
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi, alafu Anakuja mtu kama Shukuru Kawambwa anasema ujio wa timu hiyo ni historia kwa Tanzania na "faraja" kwa mashabiki wa soka nchini.
Faraja gani kwa watanzania kama siyo kuwatusi watanzania..Yaani ni kuwapoza na matatizo yenu..
On top of that:Hawana pesa ya kuzunguka mikoani kuhakiki wanachama wa CCJ..
Faraja gani kwa watanzania kama siyo kuwatusi watanzania..Yaani ni kuwapoza na matatizo yenu..
On top of that:Hawana pesa ya kuzunguka mikoani kuhakiki wanachama wa CCJ..