gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
Hahaha! Hongera, haya ukuye pande hii nikupe tizi, asije akakuua manakew huna pumzi ya kutosha najua.
khaaa! waeza sema miye sina pumzi? ulionaje ule mchezo tuliocheza na STD? uliamini ingekuwa mechi kali? haya namba ulonipa chikago je ulinikubali? dive na smash niko juu. chezeya mwl wewe wa volleyball? ka taarifa yako nilifundishwa na masista kucheza.