Happy birthday buddy Erickb52. Ukifikisha miaka 19 niambie nikukabiz mjukuu wangu ummu kulthum umkague. BTW karibu kwenye chama chetu cha walisogeleao kaburi. Chonde chonde uzee noumaaa!
Unahisi nini ?
John Boko ndiye alietupia kambani bao 3 kumfunga Mnyama , siku Mnyama alipocheza na Azam.
Habari ndo hiyo.
Semea tu, hawa mineno watamrusha handas mwenye shughuli 52, hence fanya iwe siri yetu! Usin'taje sawa eeh ?
Ukin'taja nakulima fine !
mbona wajihami sana???? kwani anaitwa nani tena???.................mjini hapa ukihesabu moja wenzio wana hesabu 4 upohapo?
Hapana sipo.... vipi mtaalam wa kusmash kishatia timu? Ulinambia anakuja leo umekoma kuringishiwa na utaalam wangu wa kusmash na ku dive.....lol
Hahaha! Hongera, haya ukuye pande hii nikupe tizi, asije akakuua manakew huna pumzi ya kutosha najua.anatia timu leo usiku mishale ya saa 3:30 usiku. so mazoezi tutaanza leo akifika kwenye indoor volleyball pitch. utanikoma manake huyu anachezea timu ya bremen so ntakuwaje mtaalam sasa?
ila nitatafuta siku moja nije nikuonyeshe maujuzi ya bremen, japo nyie wa chicago muongeze ujuzi zaid.
Umeniacha mataa ya Magomeni naliwa na mbu.
Sasa hata kama ana Multiple ndo mshindwe kumkagua?
Asprin we sema umeogopa ndo mana umewaachia akina Bishanga na Young_Master.
Tuache hayo,harakisha bhana c unajua sherehe inaanza asubuhi hii!
Hehehee shem asante wangu beibe nastyhappy bday my shem. Wishing u an everlasting n warmth birtday., my hubby keshatangulia tbl na serenget kufuatilia vinywaji mi ndo nipo hapa nangoje hili duka la mapambo nichukue sm mapambo