Ndugu wana JF kama ninatumia wireless rooter kwa mtandao X ninaweza kuhama nayo mtandao Y? Na kanuni hiyo inapply kwa decoder? Natumai wataalam mtanijuza kwenye ICT nipo ovyo ovyo
Na hiyo decoder mkuu au na yenyewe ni kihama ndio mwisho? Ninachunguza nini kwenye rooter?kuna wireless zingine huwa locked to a certain provider kwa hiyo itabidi uchunguze,yangu is locked and hence if i change providers itabidi nitafute router ingine
mimi nina BT VOYAGER 210 adsl wireless router locked to british telecommunicationsRouter haiko locked unaweza kutumia kokote.
Decoder ziko made specifically kwa ajili ya kampuni fulani, haita fanya kazi na kampuni yoyote nyingine.
Nadhani kama una Adsl Wireless Router inaweza ikawa locked ile Modem ya Adsl ndo inakuwa locked, kama una stand alone Wireless Router sidhani kama inaweza kuwa locked.mimi nina BT VOYAGER 210 adsl wireless router locked to british telecommunications
Ongeleeni na modem nayo vipi inaweza kutumika popote?
Na hii technilojia ya wireless na router kwa Tanzania ipo accessible. Maana najua zinatumika cable hapa nilipo. Je kuna njia nyingine ambayo Tz inatumika majumbani????Nadhani kama una Adsl Wireless Router inaweza ikawa locked ile Modem ya Adsl ndo inakuwa locked, kama una stand alone Wireless Router sidhani kama inaweza kuwa locked.
Mwanzisha mada tupe Model namba tujue kinachoendelea.
Na hii technilojia ya wireless na router kwa Tanzania ipo accessible. Maana najua zinatumika cable hapa nilipo. Je kuna njia nyingine ambayo Tz inatumika majumbani????