Wipes za kuepuka kwa watoto

Akiogeshwa hakui?????
hahaha, sio kukua ila ni kwa ajili ya kuilinda ngozi ya mtoto. Inashauriwa mtoto mchanga kabla ya kitovu kutoka asiogeshwe. Mwenzi mmoja hadi 3 basi mara 1 au 2 kwa week. Na pia kwa mwezi wa kwanza asiogeshwe na sabuni yoyote maana si rahisi kupata sabuni isiyo na madhara. Kutoogeshwa haina maana hasafishwi. Waweza msafisha hata mara 10 kwa siku kwa kutumia, maji ya vugu vugu, pamba na kitauolo laini.
 
hahaha, sio kukua ila ni kwa ajili ya kuilinda ngozi ya mtoto. Inashauriwa mtoto mchanga kabla ya kitovu kutoka asiogeshwe. Mwenzi mmoja hadi 3 basi mara 1 au 2 kwa week. Na pia kwa mwezi wa kwanza asiogeshwe na sabuni yoyote maana si rahisi kupata sabuni isiyo na madhara. Kutoogeshwa haina maana hasafishwi. Waweza msafisha hata mara 10 kwa siku kwa kutumia, maji ya vugu vugu, pamba na kitauolo laini.
..asante Mpendwa
 
Matumizi Ya wipes yameonekana trending na modest sana kana kwamba watu wamefumbia macho side Effects zake kwa watoto wetu.Most of them are made of damaging Ingredients ambazo zina Longtime effects kwa watoto mfano Cancer n.k
Siwezi kutaja specifically wipes na wipes ILA ukiwa unanunua angalia vilivyomo ukiona ivi ACHA!!

INGREDIENTS ZENYE MADHARA

1.METHYLISOTHIAZOLINONE
..Hii ni presevative(kitunzi) cha wipes ILI ziendelee kuwa na Unyevu,inasababisha ugonjwa wa dermatitis kwenye ngozi na Cancer,kifupi chake ni MI

2.IODOPROPYNYL BUTYCARBAMATE(IPCB)
..Na hii pia ni presevative na product Ya kumalizia utengenezaji wa mbao(special woods) na rangi(paint) ni allergen(husababisha allergy) na Pia skin Irritant(haipendwi na ngozi).

3.PARABENS MFANO(methylparaben,ethylparaben,butylparaben)
..Hii nayo ni presevative inasababisha cancer na kuadhiri mfumo wa Hormone(oestrogen).

4.TRICOLSLAN
..Inatumika kama Anti-bacterial,inaadhiri mfumo wa uzazi na kuharibu hormonal system infact imepigwa marufuku kwenye nchi kama Japan na Canada

5.SODIUM LAURYL SULFATE(SLS) NA SODIUM LAURETH SULFATE(SLES)
..Hii ni surfactant(nmekosa neno la kiswahili) inayotokana na nazi,inaadhiri Macho na Ngozi kwa Ujumla.

6.POLYETHYLENE GLYCEROL(PEG)
..Inavyonza unyevu-Unyevu kutoka kwenye Ngozi na kuadhiri viungo vya uzazi na hormone system kwa ujumla,huwa vinaanza na herufi PEG Alafu namba

7.PROPYLENE GLYCEROL
..Hii husababisha kuchubuka ngozi,na kusababisa kitu kinaitwa immunotoxity na pia inaadhiri mfumo wa kupumua

8.PHTHALATES
..Hii inatumika kama parfum kwenye wipes huadhiri sana watoto wa kiumi maana inaingilia na kuadhiri mfumo wa utengenezaji sperm

9.FORMALDEHYDE-Releasing chemicals
..Zinatokana na carcinogens ambazo usababisha cancer hizi huadhiri macho,ngozi na mapafu zikigusana na ngozi.

10.PETROCHEMICALS
..zote zinazoishia na "eth" mara nyingi hutokana na Oils na natural Gases ivyo huadhiri ngozi na husababisha cancer,tafuta wipes zenye label ya NO PETROCHEMICALS

Summary;Ukiona wipes Ina Paraben,PEG,Glycerol,Fragnance na Antibacterial ACHANA NAYO!!!!
TUMIENI MAJI AU LOCALLY MADE TOILET PAPERS AKINA MAMA!!
1475081627844.jpg


Mwanangu anatumia hii, bila shaka hizi ingredients zake ni salama, kama nazo ni hatari tafadhali nambie ili nimkomeshe bibie kuzitumia!

Asante,
 
Nina wipes aina mbili tofauti hapa na hakuna isiyo na kimojawapo ya hivyo vilivyokatazwa!!!

Please kama kuna mtu ana ambayo haina vyote hapo atuambie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom