klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
Kuna siku namimi nitajifanya mkongo pale au mmasai kamanda nifungue kaofisi, halaf ole wake akatize Lizzy au Husninyo, hakyababu watajuta kugoma kujibu PM zangu.Mi nilimpeleka shemeji yako kwa wamasai pale ilala baada ya kuona mazingira nikatoa laki asukwe na mademu we acha tu.