ndugu zangu watanzania naomba nipate ufafanuzi juu ya jambo hilo maana tunaona asilimia kubwa ya vyuo nchini wanatoa kozi hizo. Wengine wanasoma kwa vitendo zaidi lakini wengine notes sana lakushangazwa tunaona mpaka mitaani kozi ndio hizo hizo zafundisha sana. Ukimaliza chuo kuna professional certificate ccna,comptia A+,microsoft, nk. Je mpaka sasa sijaona programmer ambaye tuseme mtanzania, tufanyaje tulikomboe taifa. Isijekuwa baadaye ikajakuwa jangwa la taifa wenzetu wamasomo ya biashara kunaunafuu kidogo no practical sana. Huku kama una practical ndio kabisa utajua kuformat tu.