Zuia Sayayi
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 841
- 133
Jmn msaada wakuu,
naomba kuulza,
eti ni window gani nzuri kwa matumiz yote (nyumban na ofisin)
thanks
naomba kuulza,
eti ni window gani nzuri kwa matumiz yote (nyumban na ofisin)
thanks
inategemea mashine unayotumia ina uwezo gani, i mean Ram , processor, hard disk etc Zuia Sayayi
xp kuanzia sp2 an above is every thng mkuu hakuna cha vista , win7,wala nini izo zingine mbwembwe nying tu bt mara nzito ma zikatae xome apps tabu tupu tena kama w7 ndo kbsaaaaa.
umeona eeh..sio kweli mkuu