Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,689
- 39,754
- Thread starter
- #21
hii ni market share ya android kubali kataa gingerbread rules unapozungumzia android unazungumzia gingerbread na froyo
Mkuu unaonaje windows kwa app? Sasa window app zote unaweza kuzihamisha kwenye windows phone 8. Mimi sio developer kulizungumzia sana lakini developer wenyewe wanafahamu urahisi wake wp8 itakua na app nyingi na bora zaidi
nadhani tuwe wa wazi.. wi8 sitavutiwa nayo coz simu zake nyingi expensive. Android brand new napata ata kwa laki 1.5
Android utazopata kwa 1.5 zinakua sio latest version ya android zinakua eclair, froyo au ikizidi gingerbread.
Same kwenye windows phone kuna wp7 na wp7.5 zote zitapata update ya 7.8 ambayo ui yake ni kama wp8. Zipo rahisi hizi wp7 na wp7.5 na kama manufacture ni wale wale.
Samsung anatengeneza windows phone, htc anatengeneza, huawei anatengeneza, zte anatengeneza labda sony na lg ndo bado hawajaja kwenye wp.
Na yote 9 kumi kuna nokia lumia 510 ina screen 4 inch. Japo ina 4gb tu ya memory but kwa screen ya 4 inch na bei chini ya laki 3 thats big deal.
Chief hata sony wanazo mimi niliwahi kuwa na xperia ina run WP7