networker
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 570
- 215
salaam ndugu zangu .nina windows mobile samsung gt i8000 nili acha usiku connected kwenye laptop kwa kutumia usb cable cha kushangaza asubui nli amka simu haiwaki betry nime charge bado haiwaki.haikuwa na tatizo lolote sijui ni nini kimetokea hadi ikawa hivyo mwenye ujuzi au ambaye ame kumbwa na mkasa kama huu msada please