G M S
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 502
- 53
Wadau natumia laptop aina ya ( hp compaq ) q40 hapo nyuma iliwah leta usumbufu fund akanibadilishia window akaniwekea hii window imeandikwa (vista busness) naona kama si nzur kwasabu webcam( camera) imekuwa chini ya kiwango inatoka ndogo hata nikimaxmazi hakuna lolote na baadhi ya vitu kwny camera display hamna pia bluetooth kwa sasa inagoma kupokea data inatoa tu kwa ufup naona kama window hii vista busness inachangia nataka kubadili je ipi itakuwa fresh kwa hii laptop ya hp compaq! Nawasilisha!