Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 6,408
- 8,901
Je sisi kama Watanzania tunapaswa kumshukuru mkoloni (Mjerumani) kwa nchi yetu?
Baada ya kutafakari sana nimeona kwamba tuna kila sababu ya kumshukuru mkoloni au yeyote aliyechora mipaka yetu kwani tumependelewa sana, hakuna nchi yenye sifa kama yetu Afrika, tumezungukwa na maziwa makuu 3 na yote hayo tunamiliki zaidi ya 40%, tuna ufukwe wa Bahari ~km 1000, tuna visiwa kama mafia, tuna mito mirefu ambayo baadhi imo ndani ya mipaka yetu kabisa n.k sasa hoja ni kwamba yule aliyechora hii mipaka angeweza kuchora vingine na kukosa sehemu kubwa ya hivyo vitu!
Sasa Je ni sawa labda kubadili mtazamo na badala ya kulalamikia ukoloni na kuanza kusifu kwani sisi kwetu ni "win win Situation" ukilinganisha na nchi nyingi kama sio zote za kiafrika ukoloni umeleta madhara sana kwao?
Baada ya kutafakari sana nimeona kwamba tuna kila sababu ya kumshukuru mkoloni au yeyote aliyechora mipaka yetu kwani tumependelewa sana, hakuna nchi yenye sifa kama yetu Afrika, tumezungukwa na maziwa makuu 3 na yote hayo tunamiliki zaidi ya 40%, tuna ufukwe wa Bahari ~km 1000, tuna visiwa kama mafia, tuna mito mirefu ambayo baadhi imo ndani ya mipaka yetu kabisa n.k sasa hoja ni kwamba yule aliyechora hii mipaka angeweza kuchora vingine na kukosa sehemu kubwa ya hivyo vitu!
Sasa Je ni sawa labda kubadili mtazamo na badala ya kulalamikia ukoloni na kuanza kusifu kwani sisi kwetu ni "win win Situation" ukilinganisha na nchi nyingi kama sio zote za kiafrika ukoloni umeleta madhara sana kwao?