Kuna jamaa moja alikuwa na tabia akiingia Toilet anakaa muda mrefu sana, siku moja anaingia toi..mke wake akampa redia ndogo aendelee kusikiliza asiboreke.....jamaa alipotoka mazungumzo yakawa hivi....
Mke: vp umefurahia?
Mume: duh....nimejiongezea shida....
Mke: kwani vp?
Mume: ile naanza tu kushusha vitu, si wakaweka wimbo wa taifa.......
Mke: ikawaje?
Mume: Nimeku**nya nimesimama!!
Mke: Tobaaaaaaaaaa!!!!
Mke: vp umefurahia?
Mume: duh....nimejiongezea shida....
Mke: kwani vp?
Mume: ile naanza tu kushusha vitu, si wakaweka wimbo wa taifa.......
Mke: ikawaje?
Mume: Nimeku**nya nimesimama!!
Mke: Tobaaaaaaaaaa!!!!