Angalau mara mbili kila siku, hasa kipindi cha Supermix, lazima wimbo wa Taifa upigwe. Nijuavyo wimbo huu ni kielelezo na heshima kwa Taifa na upigwapo aghalabu hupaswa kuashiria tukio lisilo la kawaida. Inakuwaje EA Radio mnaushushia hadhi?
Angalau mara mbili kila siku, hasa kipindi cha Supermix, lazima wimbo wa Taifa upigwe. Nijuavyo wimbo huu ni kielelezo na heshima kwa Taifa na upigwapo aghalabu hupaswa kuashiria tukio lisilo la kawaida. Inakuwaje EA Radio mnaushushia hadhi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.