Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
mauaji yapo TARIME na yale ya maalbino huko Tananyika.Yale mauaji ya 64 ndio yalioleta Jamhuri
Tunajua mbaya wetu ni nani anaeutufarakanisha na kutugombanisha. lakini naamini tukipata uhuru wetu yote yatabaki story