Wimbo wa nani huu?

JAYJAY

JF-Expert Member
Oct 31, 2008
7,510
7,540
kuna wimbo wa zamani umeimbwa na mwanamama akiimba '' sugar daddy sugar daddy...heri kufa masikini kuliko kusimangiwa heri kufa masikini kuliko kusimangiwa na walimwengu ee, tamaa iliuwa fisi...umasikini si kilema, matatizo ya dunia, leo kwangu kesho kwako...'' nimeshausikia mara kadhaa lakini watangazaji wa redio hawataji hata majina ya muimbaji, sijui kwa nini!?
 
Kweli ndugu! nimechungulia youtube kwa jina hilo nimekuta nyimbo zake kadhaa! akhsante!
 
kuna wimbo wa zamani umeimbwa na mwanamama akiimba '' sugar daddy sugar daddy...heri kufa masikini kuliko kusimangiwa heri kufa masikini kuliko kusimangiwa na walimwengu ee, tamaa iliuwa fisi...umasikini si kilema, matatizo ya dunia, leo kwangu kesho kwako...'' nimeshausikia mara kadhaa lakini watangazaji wa redio hawataji hata majina ya muimbaji, sijui kwa nini!?
Man leo nimeusikia huu wimbo kwenye mwendokasi nimeugoogle hadi nimefika hapa

Kweli watangazaji hawatajagi jina la huyu mwanamuziki

Halafu kingine umenisaidia kuelewa mashairi hapo kusimangiwa nilikuwa sielewi anasema na tamaa ilikua fisi nilikuwa sisikii vizuri
 
Man leo nimeusikia huu wimbo kwenye mwendokasi nimeugoogle hadi nimefika hapa

Kweli watangazaji hawatajagi jina la huyu mwanamuziki

Halafu kingine umenisaidia kuelewa mashairi hapo kusimangiwa nilikuwa sielewi anasema na tamaa ilikua fisi nilikuwa sisikii vizuri
Ahsante. Kuna jamaa alinijibu humu jukwaani jina la huyo mwanamuziki. Anaitwa "Lady Isa" na ni huu hapa

 
kuna wimbo wa zamani umeimbwa na mwanamama akiimba '' sugar daddy sugar daddy...heri kufa masikini kuliko kusimangiwa heri kufa masikini kuliko kusimangiwa na walimwengu ee, tamaa iliuwa fisi...umasikini si kilema, matatizo ya dunia, leo kwangu kesho kwako...'' nimeshausikia mara kadhaa lakini watangazaji wa redio hawataji hata majina ya muimbaji, sijui kwa nini!?
Duuuuh,
 
kuna wimbo wa zamani umeimbwa na mwanamama akiimba '' sugar daddy sugar daddy...heri kufa masikini kuliko kusimangiwa heri kufa masikini kuliko kusimangiwa na walimwengu ee, tamaa iliuwa fisi...umasikini si kilema, matatizo ya dunia, leo kwangu kesho kwako...'' nimeshausikia mara kadhaa lakini watangazaji wa redio hawataji hata majina ya muimbaji, sijui kwa nini!?
Alipewa dakika kàdhaa tu awaone wanae.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom