Wimbo uliohit huku ukiwa na maneno yasiyo eleweka hata kidogo

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,627
154,996
NGANGARI-KINOMAAH!! HILI daluga kichuga-chuga unenge zali mazabe.... 'take care'
machizi wanatambaa na boda/masela masimela wajera-jera/Bongo wanahisi wako ahera viepe dume mikasava mawola kamili kimentali/gado kiembasado kula nyoro kwa chabo/ngoma ina-yeya mbona byeee-yekete/mambo ya visadolini makonkodi krini lodi kwa lodi makata logi kohojo " B " tiadisprini utazimia na roho yako wehu tukiikamatia mitandao mbwisi kata shingo wachizani tuwaluke na madingo jego moko mtu mmoko dili zote magendo ukizubaa kitendo kwa taarifa yako kitu kidogo bolibo mnala watu tuko ala mkangafu ngalangala mavumba ya kujifukizia manu ya kupalata mesheni za kutempa za kuchumpa za kupalama nanga inapaa hiki sasa kiama dunia nyanga ekatoo stenkoo dusro-dusro hado-hado jagi kisado walumendago dili mtulu au sago.

Chorus: Usawa ni mgumu hata uki-vuta... ndumu yeeaah!
Ikizidi sana jua utakunywa sumu yeeaah!
Eeeh Ngangari waaah waaah!
Watu kumbe Ngangari waaah msegeju!

Agweee-Yeeh!
Mi yangu nikulongile kunihulika/ na kuhulika bureeh!
natakakwenda msanga(oooh naulina bureee x2)
chaka chakaaa x2
msela wako vipi masela wako vipi wako Ngangari-Ngangari kinomaaah!
Gangwe wako vipi x2
wako Ngangari-Ngangari kinomaah
Kisela-sela..kisela-sela waaaaah!

Naku-nakulashazi kimang'ati mguu-kaaati/kama hutaki-taki kaa kati kona ni kali/ngoma inalamba chakijalamba shawari li' kuvinjari/bwimbwi vigimbi mashuki-shuki ushuri lukuki makila kitu nyukip kiipu mambo vishoya sembe chapa maoa utagoshoa nyopoa-poa katadau finyadinyelu mchuma peru tulia mawelu-welu x4/ sauti mvua ngoma bamvua/ulak chamu denge lua chuya kibwasti mchele kunga valia njuga mida minene saka mapene cheua uteme ewaaaah! ngekewa kismeti si unacheki/si-mcheo kajanja wako michoto alosto paso stimu a bia aitutoi nishai mpaka tupate tu-tu shiii! Haaaahah nakachaso kimtulinga piga umbeta manyau-nyau makalateka peleka ngalisa shavu hinhaaaah-hinhaaah!ngangari-kijemedart kivagalanti kidontachipira ugokoni ndochi macho mbele mbele tooo-chi haina kontrola ngoma na posonga haiofii nguvu ya dola ngalinya nyengo sekela kitutenimsobe machela ndinga imetambaa na besela/haiko mukinga kula deo chaboluningagumza kimachinga nang'olo jambo abari jenero idawakosombile nungu sakuma mena pasopa wena eyoooh! mikito mnato ngoma bado ina moto nzito zali zikijileta usifumbie macho nyendo za kiminyato kata mtalo chalo bongo miganda galo halooooh! chizi chizi kakabidhiwa jalala la dampo patamu hapo hapa ndipo palipo vuka soksi kiatu kikabaki wajuba zali pokidali watu ngangari eeenheeh! ngangari dona limevaa koti tatizo noti ngangari nyomi hazisanyi whu nyikani noma kafia Sudani hoheeh-haaheeh! tuliza mabutu upate taf taheeh yakheeh wee wasusa wenzio twala he-waliwaaa kalibu shekhe una japo upate kikombe cha gahawa kama mali ya mtu yaliwa bure kulaaah! mashalwaaah! machale konoli cheki-saiti shingo kwa ********* kama una-dupu zimia na sori ndumu mtu sembe kauzu chukuchuku kibandidu gojogojo x4 bwabwa limekolea tandu ogo chachandu.

Chorus

Composed by Inspekta Haroun of Gangwe mob and produced by P-Funk.
 
Ndio wasanii wetu hao, ndio maana nyimbo zao ni mithili ya big g ukitafuna zinaisha utamu, leo nyimbo inahit baada ya miezi miwili inakua zilipendwa...wasanii kuneni vichwa acheni ubabaishaji na kuigaiga...
 
kuna mwimbo wa piggy-black wa kiwa-side unaitwa "nini mnataka mazee"
 
NGANGARI-KINOMAAH!! HILI daluga kichuga-chuga unenge zali mazabe.... 'take care'
machizi wanatambaa na boda/masela masimela wajera-jera/Bongo wanahisi wako ahera viepe dume mikasava mawola kamili kimentali/gado kiembasado kula nyoro kwa chabo/ngoma ina-yeya mbona byeee-yekete/mambo ya visadolini makonkodi krini lodi kwa lodi makata logi kohojo " B " tiadisprini utazimia na roho yako wehu tukiikamatia mitandao mbwisi kata shingo wachizani tuwaluke na madingo jego moko mtu mmoko dili zote magendo ukizubaa kitendo kwa taarifa yako kitu kidogo bolibo mnala watu tuko ala mkangafu ngalangala mavumba ya kujifukizia manu ya kupalata mesheni za kutempa za kuchumpa za kupalama nanga inapaa hiki sasa kiama dunia nyanga ekatoo stenkoo dusro-dusro hado-hado jagi kisado walumendago dili mtulu au sago.

Chorus: Usawa ni mgumu hata uki-vuta... ndumu yeeaah!
Ikizidi sana jua utakunywa sumu yeeaah!
Eeeh Ngangari waaah waaah!
Watu kumbe Ngangari waaah msegeju!

Agweee-Yeeh!
Mi yangu nikulongile kunihulika/ na kuhulika bureeh!
natakakwenda msanga(oooh naulina bureee x2)
chaka chakaaa x2
msela wako vipi masela wako vipi wako Ngangari-Ngangari kinomaaah!
Gangwe wako vipi x2
wako Ngangari-Ngangari kinomaah
Kisela-sela..kisela-sela waaaaah!

Naku-nakulashazi kimang'ati mguu-kaaati/kama hutaki-taki kaa kati kona ni kali/ngoma inalamba chakijalamba shawari li' kuvinjari/bwimbwi vigimbi mashuki-shuki ushuri lukuki makila kitu nyukip kiipu mambo vishoya sembe chapa maoa utagoshoa nyopoa-poa katadau finyadinyelu mchuma peru tulia mawelu-welu x4/ sauti mvua ngoma bamvua/ulak chamu denge lua chuya kibwasti mchele kunga valia njuga mida minene saka mapene cheua uteme ewaaaah! ngekewa kismeti si unacheki/si-mcheo kajanja wako michoto alosto paso stimu a bia aitutoi nishai mpaka tupate tu-tu shiii! Haaaahah nakachaso kimtulinga piga umbeta manyau-nyau makalateka peleka ngalisa shavu hinhaaaah-hinhaaah!ngangari-kijemedart kivagalanti kidontachipira ugokoni ndochi macho mbele mbele tooo-chi haina kontrola ngoma na posonga haiofii nguvu ya dola ngalinya nyengo sekela kitutenimsobe machela ndinga imetambaa na besela/haiko mukinga kula deo chaboluningagumza kimachinga nang'olo jambo abari jenero idawakosombile nungu sakuma mena pasopa wena eyoooh! mikito mnato ngoma bado ina moto nzito zali zikijileta usifumbie macho nyendo za kiminyato kata mtalo chalo bongo miganda galo halooooh! chizi chizi kakabidhiwa jalala la dampo patamu hapo hapa ndipo palipo vuka soksi kiatu kikabaki wajuba zali pokidali watu ngangari eeenheeh! ngangari dona limevaa koti tatizo noti ngangari nyomi hazisanyi whu nyikani noma kafia Sudani hoheeh-haaheeh! tuliza mabutu upate taf taheeh yakheeh wee wasusa wenzio twala he-waliwaaa kalibu shekhe una japo upate kikombe cha gahawa kama mali ya mtu yaliwa bure kulaaah! mashalwaaah! machale konoli cheki-saiti shingo kwa ********* kama una-dupu zimia na sori ndumu mtu sembe kauzu chukuchuku kibandidu gojogojo x4 bwabwa limekolea tandu ogo chachandu.

Chorus

Composed by Inspekta Haroun of Gangwe mob and produced by P-Funk.
asilimia kubwa ya wapenzi wa muzic tanzania ni wabange bange tu hivyo hawako tayari kungalia meseji
 
Kila neno lina maana na mantiki na linaweza kutafsirika, labda ni wewe tu usiyeelewa kwa vile si mlengwa.

Hawa jamaa wametumia style fulani ya economy of words inayoflow na concepts building pictures zaidi kuliko narrative, kama baadhi ya nyimbo za Wu-Tang Clan.

Huwezi kutegemea mshabiki wa Paul Simon aelewe style ya Wu-Tang Clan.
 
Inaitwa Bongo-Katuni sijui ilifia wapi. Pengine BASATA waliamua kuiondoa kimaadili
 
Inaitwa Bongo-Katuni sijui ilifia wapi. Pengine BASATA waliamua kuiondoa kimaadili

Wameshakwambia wenyewe hapo "wewe wasusa wenzio twala"

Now you gotta admit kwamba for them to anticipate what you will say and give you that they must be a cleverly fiendish hood poets.

Tatizo half the population can't decipher half of a quarter of the lyrics.

It's like telling a typical Maasai herdsman that space is curved, it's out of his sphere.
 
Kila neno lina maana na mantiki na linaweza kutafsirika, labda ni wewe tu usiyeelewa kwa vile si mlengwa.

Hawa jamaa wametumia style fulani ya economy of words inayoflow na concepts building pictures zaidi kuliko narrative, kama baadhi ya nyimbo za Wu-Tang Clan.

Huwezi kutegemea mshabiki wa Paul Simon aelewe style ya Wu-Tang Clan.

kiranga naona umewasaidia sana, unadhani watakuelewa?
hizo staili ndiyo haswa zilileta maana kwa walengwa (watu wa kitaa-na wote wenye kuweza kuskiza na kuelewa nyimbo NGUMU za wagum walio katika maisha magum), hiyo siyo bongofleva (inayolenga wadada na vijana wa shule)
 
Umenikumbusha mbali ile mbaya mkuu, nlikuwa naupenda sana kipindi hicho nlikuwa kijijini
moshi, nlikuwa na ka radio kangu kadogo natembea nacho mithili ya masai, hata juu ya mti nlikuwa napanda nayo kwani 'the heat' ya radio one ilikuwa ikiitandika sana.
ilikuwa tamu we acha tu, inaeleweka vizuri tu labda kama hukusoma kiswahili.
anyway. asante sana
 
NGANGARI-KINOMAAH!! HILI daluga kichuga-chuga unenge zali mazabe.... 'take care'
machizi wanatambaa na boda/masela masimela wajera-jera/Bongo wanahisi wako ahera viepe dume mikasava mawola kamili kimentali/gado kiembasado kula nyoro kwa chabo/ngoma ina-yeya mbona byeee-yekete/mambo ya visadolini makonkodi krini lodi kwa lodi makata logi kohojo " B " tiadisprini utazimia na roho yako wehu tukiikamatia mitandao mbwisi kata shingo wachizani tuwaluke na madingo jego moko mtu mmoko dili zote magendo ukizubaa kitendo kwa taarifa yako kitu kidogo bolibo mnala watu tuko ala mkangafu ngalangala mavumba ya kujifukizia manu ya kupalata mesheni za kutempa za kuchumpa za kupalama nanga inapaa hiki sasa kiama dunia nyanga ekatoo stenkoo dusro-dusro hado-hado jagi kisado walumendago dili mtulu au sago.

Chorus: Usawa ni mgumu hata uki-vuta... ndumu yeeaah!
Ikizidi sana jua utakunywa sumu yeeaah!
Eeeh Ngangari waaah waaah!
Watu kumbe Ngangari waaah msegeju!

Agweee-Yeeh!
Mi yangu nikulongile kunihulika/ na kuhulika bureeh!
natakakwenda msanga(oooh naulina bureee x2)
chaka chakaaa x2
msela wako vipi masela wako vipi wako Ngangari-Ngangari kinomaaah!
Gangwe wako vipi x2
wako Ngangari-Ngangari kinomaah
Kisela-sela..kisela-sela waaaaah!

Naku-nakulashazi kimang'ati mguu-kaaati/kama hutaki-taki kaa kati kona ni kali/ngoma inalamba chakijalamba shawari li' kuvinjari/bwimbwi vigimbi mashuki-shuki ushuri lukuki makila kitu nyukip kiipu mambo vishoya sembe chapa maoa utagoshoa nyopoa-poa katadau finyadinyelu mchuma peru tulia mawelu-welu x4/ sauti mvua ngoma bamvua/ulak chamu denge lua chuya kibwasti mchele kunga valia njuga mida minene saka mapene cheua uteme ewaaaah! ngekewa kismeti si unacheki/si-mcheo kajanja wako michoto alosto paso stimu a bia aitutoi nishai mpaka tupate tu-tu shiii! Haaaahah nakachaso kimtulinga piga umbeta manyau-nyau makalateka peleka ngalisa shavu hinhaaaah-hinhaaah!ngangari-kijemedart kivagalanti kidontachipira ugokoni ndochi macho mbele mbele tooo-chi haina kontrola ngoma na posonga haiofii nguvu ya dola ngalinya nyengo sekela kitutenimsobe machela ndinga imetambaa na besela/haiko mukinga kula deo chaboluningagumza kimachinga nang'olo jambo abari jenero idawakosombile nungu sakuma mena pasopa wena eyoooh! mikito mnato ngoma bado ina moto nzito zali zikijileta usifumbie macho nyendo za kiminyato kata mtalo chalo bongo miganda galo halooooh! chizi chizi kakabidhiwa jalala la dampo patamu hapo hapa ndipo palipo vuka soksi kiatu kikabaki wajuba zali pokidali watu ngangari eeenheeh! ngangari dona limevaa koti tatizo noti ngangari nyomi hazisanyi whu nyikani noma kafia Sudani hoheeh-haaheeh! tuliza mabutu upate taf taheeh yakheeh wee wasusa wenzio twala he-waliwaaa kalibu shekhe una japo upate kikombe cha gahawa kama mali ya mtu yaliwa bure kulaaah! mashalwaaah! machale konoli cheki-saiti shingo kwa ********* kama una-dupu zimia na sori ndumu mtu sembe kauzu chukuchuku kibandidu gojogojo x4 bwabwa limekolea tandu ogo chachandu.

Chorus

Composed by Inspekta Haroun of Gangwe mob and produced by P-Funk.

Mbona unaeleweka vizuri tu sana kaka. Uliza ambacho hujakielewa hapo nikudadavulie..
 
Hiyo track inaeleweka sana.Napenda sana rap katuni kuliko kawaida.sina kabisa nyimbo za sasa.mimi kwangu Juma,Haruna,Mabaga Fresh,GWM Majitu,bado ni wakali kwangu.hawa machizi ni mara chache sana kurap mapenzi,na wakichana mapenzi hawalii-lii....Sikiza Mtoto wa Geti Kali na Sonia wanavyopewa michano,sikia Sitaki Demu ukizinguliwa...ukiniambia hata jina la nyimbo moja ya Young Kila siijui....niambie kuhusu Wachuja Nafaka na Gagwe Mob na machizi wengine miaka ya 90
 
Daah hahahah maishairi ya ajabu.

Ila ilitulia sana hahahahah

Gangwe ngangari ngangari kjnomaa!!
 
Yaani nimesoma huo wimbo nimecheka vibaya..... hivi akiambiwa aurudie jukwaani ataweza? Au ndio yale ya Feruzi aliendaga Burundi akaambiwa aimbe wimbo wa kamanda na jamaa alishausahau wakati kule kwao ndio umeshika kasi
 
Hiyo track inaeleweka sana.Napenda sana rap katuni kuliko kawaida.sina kabisa nyimbo za sasa.mimi kwangu Juma,Haruna,Mabaga Fresh,GWM Majitu,bado ni wakali kwangu.hawa machizi ni mara chache sana kurap mapenzi,na wakichana mapenzi hawalii-lii....Sikiza Mtoto wa Geti Kali na Sonia wanavyopewa michano,sikia Sitaki Demu ukizinguliwa...ukiniambia hata jina la nyimbo moja ya Young Kila siijui....niambie kuhusu Wachuja Nafaka na Gagwe Mob na machizi wengine miaka ya 90
Dah hapo umemtaja Young Kila umenigusa dogo namkubali sana...skia ule wimbo unaitwa 13 ft Fid Q na Belle 9... afu producer Pfunk....aibu
 
Back
Top Bottom