Kwa hiyo na ww unajitambua???Level zako wewe ni Kokoro, Mziki achia wanaojitambua
sio kuna mchuzi ni huna mchuzi no excuse yaan huna hela hamna kuomba ombanapost uzi huu huku nikiskiliza wimbo wa darasa 'muziki' lakini sijauelewa mara kuna mchuzi, no excuse. ambaye ameueleea unamaansha nini anambiee
Itakuwa kula karumatiatamsingzia mwl wa kiswahili hakumfundisha umoja waya uwingi nyaya,wimbo-nyimbo,miaka 7 shule ya msingi ulikua unaenda kufanya nini!?
ni kweli aiseee,,,hivi producer yupi katengeneza huu wimbo?Hii nyimbo kazi kubwa kaifanya producer wa hiyo beat, nikisema nigawe ktk asilimia producer 60%,ben pol 20% na darasa 20%.Maproducer kunahaja ya kuungana kutetea maslai yao la sivyo watabakia kuwa masikini wenye vipaji huku wasanii wakipiga ela.
Umeruka Championi255 boy niite mbwana samataaaaaaaa
Labda atapewa tuzo ya heshimaMsanii darasa umetisha na nyimbo yako Muziki,ni nyimbo bora ya mwaka hata kama hakwanii tuzo yoyote
Darasa ni mkalii,nimeshawishika kusikiliza nyimbo zake za toka aanze mziki
Eti kaiba wa Salome akat enzi za Salome huyo mbwana samatta anauza maji ya uhai kimbangulile255 boy niite mbwana samataaaaaaaa
Mkuu unautani hivi unawajua wasafi wao kabla ya masaa 24 wanakugongea 1m viewsView attachment 442801 kavunja rekod week moja view laki nane
Mbona hata ngoma ya zigo beat iliibwa toka kwenye ngoma ya "celebrity girlfriend "
Japokuwa kaibia beats toka kw zigo remix na mashairi kwa Salome lakini ngoja hiyo ya darasa ft Ben pol-Muziki inachezwa [HASHTAG]#Trace[/HASHTAG].
Congrats [HASHTAG]#Darasa[/HASHTAG].