Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
Hola Chica...fantástica, pero muy ocupada. Esta es la vida.. Y tu?
Muy bien......gracias...
Hola Chica...fantástica, pero muy ocupada. Esta es la vida.. Y tu?
Tunapoteza dhahabu kwa kushabikia plastiki tu dah...
Hahaaa....Usilie shem...
Mimi nipo...Utafutaji ndo unatufanya tupotee mama...
Kuna huu na nyimbo nyingine za Lokua Kanza ameimba Kiswahili...Ni nzuri sana sema zinapuuzwa tu...Hazipewi airtime
Hata mimi nimesikia wello, badala ya rail on
ipo youtube?
Sure!! Ipo youtube mkuu! Kazi murua saana ile muhimu uione na uisikilize.
Kuna tamasha moja la African festival Papa wemba akiimba wimbo wake wa Rail on ghafla akamuita Lokua kanza aje aimbe nae wimbo wake wa Rail on asee huyu Lokua aliimba kwa hisia kali very soulful hadi nikasema am I living under the rock or something mbona simjui huyu Lokua kanza?
Nataka kuweka hapa hiyo nafanyaje wadau mpate ladha ya mziki mtamu!?
Ni hii?...........(Anaanza kwa manjojo dk ya 5 lakini wimbo hasa dk 8!) ...tamu sana!
Na shooting za sauzi kila siku...wehu mtupuTunapoteza dhahabu kwa kushabikia plastiki tu dah...
Na mikelele ya ...Uhuru uhuru uhuruuuuu.....Na shooting za sauzi kila siku...wehu mtupu
Hahaaaa kumbe tupo wengi....naupenda kweli leo ndo nimejua unaitwaje........Hivi kumbe anasemaga rail on.....
Mi nasikiaga.....weloooo.....weloooooooo....weloooo....
Taabu kabisa ndugu yangu.Na mikelele ya ...Uhuru uhuru uhuruuuuu.....
Wakitoka hapo kichupa kwa godfather kwisha kazi, waambie wapige live uone utafikiri ni wimbo mpya sio ule wa studio.
Ukimpa gitaa au kinanda apige atakumind mwishowe anakuita hater...