Jumamosi nilikuwa kwenye uzinduzi wa kampeni za mgombea udiwani kata ya daraja mbili jijini Arusha, uliokuwa unaongozwa na makamanda wa nchi kavu,mbunge wetu kipenzi Godblees ambaye magamba awapendi hata kutaja jina lake,ambao wamempa rikizo fupi pasipo kujua kwamba makamanda hawanaga rikizo kipindi cha vita,kamanda Nassari naye alikuwa kwenye uwanja wa vita,
ndugu zangu kuna mambo mawili yaliyo nikera sana mimi binafsi
ndugu zangu kuna mambo mawili yaliyo nikera sana mimi binafsi
- ukosefu wa kadi kwa wanachama wapya mimi mwenyewe nilikuwa nahitaji kadi na niliwaendea viongozi wawili na wote walikosa majibu
- kupigwa kwa wimbo unaotumia tune ya wimbo ule wa mazishi ya baba wa taifa uliopingwa na kapteni mnene kuliko wote,,Kwangu ilikuwa ni mara ya kwanza kusikia wimbo ule,nimezoea ule wa chadema*3 peoples power, naqote baadhi ya maneno yale, KUWAAGA NDUGU ZETU MAFISADI,Kwanini hawa CDM wanaruhusu wimbo kama huo upigwe katika mikutano yao wakati wao ndio wanao ongoza vita vya kupambana na mafisadi,kama ujua baadhi ya maneno ya wimbo ule saidia kuukamilisha na kwa nguvu moja tuupinge___________________________________________________________________________CDM HATUNA UNDUGU NA MAFISADI