wimbo bora wa injili kwa mwaka 2009

Rubi

JF-Expert Member
Oct 5, 2009
1,615
326
Wimbo Nibebe wa Rose Muhando umechaguliwa na watanzania kuwa Wimbo bora wa Injili kwa mwaka 2009. Wimbo huu umeshika namba 1 baada ya kuzipiku nyimbo 30 zilizotolewa na TBC1 kama zawadi ya x-mass. kwa kushindanishwa kwa siku tatu kuanzia tarehe 25 - 27 Desemba, 2009.

Wimbo wa Nibebe umepigiwa kura zaidi ya 7000 na kushika nafasi ya kwanza ukifuatiwa na wimbo wa Bwana Yesu ni tegemeo langu na Wimbo wa tatu ni Waraka wa Bahati Bukuku uliopata kura 6000. Washindi wamejipatia vikombe pamoja na pesa taslimu Tshs 50,000 kwa mshindi wa tatu; Tshs 100,000 kwa mshindi wa pili na Tshs 200,000 kwa mshindi wa kwanza.

Hongera TBC1 kwa kipindi kizuri na hongereni waimbaji wote maana nyimbo zenu hakika ni nzuri na mchuano ulikuwa ni mkali sana kiasi kwamba ilikuwa vigumu kutabiri mshindi.
 
Wimbo Nibebe wa Rose Muhando umechaguliwa na watanzania kuwa Wimbo bora wa Injili kwa mwaka 2009. Wimbo huu umeshika namba 1 baada ya kuzipiku nyimbo 30 zilizotolewa na TBC1 kama zawadi ya x-mass. kwa kushindanishwa kwa siku tatu kuanzia tarehe 25 - 27 Desemba, 2009.

Wimbo wa Nibebe umepigiwa kura zaidi ya 7000 na kushika nafasi ya kwanza ukifuatiwa na wimbo wa Bwana Yesu ni tegemeo langu na Wimbo wa tatu ni Waraka wa Bahati Bukuku uliopata kura 6000. Washindi wamejipatia vikombe pamoja na pesa taslimu Tshs 50,000 kwa mshindi wa tatu; Tshs 100,000 kwa mshindi wa pili na Tshs 200,000 kwa mshindi wa kwanza.

Hongera TBC1 kwa kipindi kizuri na hongereni waimbaji wote maana nyimbo zenu hakika ni nzuri na mchuano ulikuwa ni mkali sana kiasi kwamba ilikuwa vigumu kutabiri mshindi.
binafsi ningeupa wimbo wa WARAKA nafasi ya kwanza!......

BAHATI BUKUKU IS MY GUY BWANA!....
 
Wimbo Nibebe wa Rose Muhando umechaguliwa na watanzania kuwa Wimbo bora wa Injili kwa mwaka 2009. Wimbo huu umeshika namba 1 baada ya kuzipiku nyimbo 30 zilizotolewa na TBC1 kama zawadi ya x-mass. kwa kushindanishwa kwa siku tatu kuanzia tarehe 25 - 27 Desemba, 2009.

Wimbo wa Nibebe umepigiwa kura zaidi ya 7000 na kushika nafasi ya kwanza ukifuatiwa na wimbo wa Bwana Yesu ni tegemeo langu na Wimbo wa tatu ni Waraka wa Bahati Bukuku uliopata kura 6000. Washindi wamejipatia vikombe pamoja na pesa taslimu Tshs 50,000 kwa mshindi wa tatu; Tshs 100,000 kwa mshindi wa pili na Tshs 200,000 kwa mshindi wa kwanza.

Hongera TBC1 kwa kipindi kizuri na hongereni waimbaji wote maana nyimbo zenu hakika ni nzuri na mchuano ulikuwa ni mkali sana kiasi kwamba ilikuwa vigumu kutabiri mshindi.

Naomba nikusahihishe kidogo nafasi ya pili ilishikwa na Solomon Mukubwa na wimbo wake wa MFALME WA AMANI.

Nawapa hongera waimbaji wote walioshiriki.
 
binafsi ningeupa wimbo wa WARAKA nafasi ya kwanza!......

BAHATI BUKUKU IS MY GUY BWANA!....
yah yah!
Bukuku anaimba nyimbo kweli unazisikilizia moyoni live, nyimbo zinagusa, nyimbo zinaleta hisia.
rose muhando nyimbo zake ziko kibiashara zaidi, kidunia zaidi.
 
Lakini mimi pia zaidi ya waraka kuupenda sana pia wimbo wa Neema Mwaipopo usijinyime raha na ule wa AIC wa mpinga Kristo nilizipenda sana bahati mbaya kura hazikutosha.
 
Huo wimbo Nibebe unaimbwa sana kwenya harusi, na watu wanakata viuno utafikiri sio wa dini!! Hata The comed naona wameshaumeza!!
 
Mi naukubali ule wimbo wa marehemu chibalonza...Toka chini kwenda juu...

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=meixmZOZi0o[/ame] tumempoteza mmoja wa waimbaji

wazuri ambao hawajawahi tokea.....lakini si mbaya sana kwa sababu yule alieshika

namba mbili(SOLOMON MUKUBWA) ndie alienusurika kwenye ile ajali iliyomuua angela(ndipo alipopoteza ule mkono mmoja)

hakuna lisilowezekana kwa mungu.....RIP angel chibalonza
 
Mi naukubali ule wimbo wa marehemu chibalonza...Toka chini kwenda juu...

http://www.youtube.com/watch?v=meixmZOZi0o tumempoteza mmoja wa waimbaji

wazuri ambao hawajawahi tokea.....lakini si mbaya sana kwa sababu yule alieshika

namba mbili(SOLOMON MUKUBWA) ndie alienusurika kwenye ile ajali iliyomuua angela(ndipo alipopoteza ule mkono mmoja)

hakuna lisilowezekana kwa mungu.....RIP angel chibalonza

halafu ZD,
NAOMBA MUONGOZO KUHUSU URAIA WA ANGELA CHIBALONZA NA MUMEWE:
A. NI WAKONGO??
B. NI WAKENYA??
 
halafu ZD,
NAOMBA MUONGOZO KUHUSU URAIA WA ANGELA CHIBALONZA NA MUMEWE:
A. NI WAKONGO??
B. NI WAKENYA??

naomba nikurekebishe, mimi sio ZD. any way angela na mumewe ni wakongo kama alivyo solomoni ila kikazi wapo kenya, yani kama walivyowasanii wa kongo tz. kwenye album yao ya kwanza walizungumzia hili.
 
naomba nikurekebishe, mimi sio ZD. any way angela na mumewe ni wakongo kama alivyo solomoni ila kikazi wapo kenya, yani kama walivyowasanii wa kongo tz. kwenye album yao ya kwanza walizungumzia hili.
Oooh, sorry i meant ZIONTZ
NASHUKURU KWA MUONGOZO!.
 
mimi bado hakuna wimbo ulio upiku ule wa 'amenitendea'
napenda na hizo nyingine lakini amenitendea ndio funga kazi katika injili
 
Ningekuwa mimi ndo nachagua, ningewapa AIC Chang`ombe.

Napenda mno jinsi yule dada mwimbishaji anavyokuwa free wakati anaimbisha, utadhani yuko chumbani kwake!...Hakuna kupandisha mishipa ya shingo kama huyu nani huyu..!
 
Jamani mbona zawadi zenyewe kiduuunchuuu!!! Laki mbili mwimbaji bora wa mwaka, heh! Wangewaambia Cocacola, etc etc wawasaidie, wangepata zawadi zaidi mbona?
Wimbo wa Nibebe kelele tu, na sijui watu wanaupendea nini?
 
Ningekuwa mimi ndo nachagua, ningewapa AIC Chang`ombe.

Napenda mno jinsi yule dada mwimbishaji anavyokuwa free wakati anaimbisha, utadhani yuko chumbani kwake!...Hakuna kupandisha mishipa ya shingo kama huyu nani huyu..!


Au wewe ni Msukuma???
 
Back
Top Bottom