Wimbledon 2009

Serena-Venus-Williams-Champion-Wimbledon-2009_2325421.jpg



Venus-Williams-Serena-Doubles-Wimbledon-2009-_2325444.jpg



Venus-Williams-Serena-Doubles-Wimbledon-2009-_2325447.jpg




Serena-Venus-celebrating-doubles-win_2325470.jpg



Williams-sisters-reign-again_2325471.jpg
 
Mkuu Ab-Titchaz nimekukubali picha ni nzuri na kwa mtiririko unaoeleweka asante sana mkuu.
 
Mkuu Ab-Titchaz nimekukubali picha ni nzuri na kwa mtiririko unaoeleweka asante sana mkuu.


Degauche2008,

Karibu sana mkuu.

Hawa kina dada nawaamini kweli katika huu mchezo.
Kuna wakati watu walikua wanasema eti wameishiwa
and they made a big come back.

Big ups to the Williams sisters!
 
Leo mchezaji namba mbili katika tennis Roger Federer anakutana na outsider Andy Roddick ikiwa ni mara ya 21.

Andy Roddick anasimama katikati ya kombe la 15 kwa Federer ikiwa atashinda leo.

Hawa wamewahi kukutana mara 20 na Federer akashinda mara 18. Mwaka 2003 Roddick alikuwa akisimama nyuma sana kwa kujihami na mwaka uliofuatia wa 2004 Roddick aliweza kuwa anasogea kila mara kwenye wavu.

Kwa hio leo ni record breaker of all times Federer dhidi ya Andy Roddick ndani ya centre court katika kitongoji cha Wimbledon kilichopo kusini magharibi mwa jiji la London.
 
Last edited:
Mkuu Ab-Titchaz,

Ahsante kwa picha hizo nzuri.

Hawa wasichana ambao ni ma-genious ni moto wa kuotea mbali na watakuwepo kwa muda kidogo katika ulimwengu wa tennis.

Nimesikitika tu kwamba baba yao nae hakuwepo safari hii kwa mara ingine tena lakini mama alikuwepo.
 
Two hours to go.

Roger Federer anaingia fainali ya saba ya kujaribu kunyakua ushindi wa 15 la tennis liitwalo Gram Slam Title.

Andy Roddick anacheza fainali ya tatu. Akiwa pia anacheza mara ya 8 ndani ya kumi bora.
 
I hour na seven minutes to go.

Federer akishinda Grand Slam title ya 20 ataivunja record ya Pete Sampras na Federer pia atampita Rafael Nadal ambae ndie namba moja kwa sasa na atarudi kuitwa world No.1.

Mwaka jana Federer alishindwa kwa Rafael Nadal hapohapo Wimbledon na baadae katika fainali ya Australian Open.

Lakini alikuja kumfunga Nadal katika fainali ya French Open mapema mwaka huu.

Rafael Nadal nae sasa hivi anaangalia TV nyumbani kwake Spain. Itamuuma sana maana atashuka kuwa World No 2.
 
Zimebakia dakika 5 sasa.

Umati wa watazamaji umekwishafurika saa nyingi.

Sue Barker anaongoza jopo la wasimulizi wote.

Wakati wowote ule wachezaji hawa wawili wataingia uwanjani kufanya mazoezi.
 
Mkuu Ab-Titchaz,

Ahsante kwa picha hizo nzuri.

Hawa wasichana ambao ni ma-genious ni moto wa kuotea mbali na watakuwepo kwa muda kidogo katika ulimwengu wa tennis.

Nimesikitika tu kwamba baba yao nae hakuwepo safari hii kwa mara ingine tena lakini mama alikuwepo.
Unajua baba ndie kocha wao hapendi kuwepo kwa sababu hapendi kuwa upande mmoja ndio maana hufunga safari mapema sana asishuhudie kinachoendelea hata kuangalia kupitia luninga huwa hapendi. Kwani akiwa ndani media watamumulika tu kama akinyanyua mkono kumsupport mmoja wapo. Hata ukiangalia vizuri mama alikuwa mkimya zaidi ya siku zote.
 
Ikiwa sasa ni saa nane kasoro moja, wanaume wawili wanaingia uwanjani.
 
Nane kamili na Roger Federer na Andy Roddick wanaingia uwanjani huku wakiwa wamevalia mavazi yao meupe ikiwa ni shati na suruali. Umati unashangilia.
 
Kila mtu anakaa katika upande wake wanakutana katikati wanaongea na waamuzi na wanaanza kupigiana mpira kujiandaa na hii showdown ya highest quality.

Roger Federer amevaa shati na suruali nyeupe na Andy Roddick amevaa fulana nyeupe na bukta nyeupe.

Pete Sampras yupo katika Royal Box akiangalia.
 
Ninalipenda sana hilo vazi la R.F lakini nafikiri ghalama yake itakuwa kubwa sana kwa sababu ya huo utando wa dhahabu unaolizunguka vazi hilo.
 
Wimbledon - Serena: I don't care about rankings

Eurosport - Sat, 04 Jul 21:00:00 2009

How can an athlete own three of the four major titles in their sport yet still not be rated the world's best?
c62733ad2c2560ea6255f58e183b537b.jpg
More Stories











That was the question puzzling not only Wimbledon champion Serena Williams on Saturday but everyone in tennis.
The American was all smiles on court after beating elder sister Venus 7-6 6-2 to win her third Wimbledon crown and she doubled up in laughter when asked to explain why Dinara Safina, yet to win a grand slam title, held the number one ranking.
"I think Dinara did a great job to get to number one - she won (non grand slam titles in) Rome and Madrid," Serena joked.
"I think if you hold three grand slam titles maybe you should be number one but not on the WTA Tour obviously, so... You know, my motivation is maybe just to win another grand slam and stay number two, I guess," she grinned.
Serena has every right to feel baffled after she added the Wimbledon crown to the US and Australian Open titles she has won in the past 10 months.
Safina on the other hand has been rewarded by a system that appears to value consistency rather than the quality of tournaments won.
It has led many people to criticise the way the rankings are calculated and when Serena was usurped by Safina this year, the American claimed she was still the "real number one" no matter what the rankings said. Now she prefers not to dwell on it.
"I would go crazy just thinking about it. I think anyone really could," said the 27-year-old.
"I'd rather definitely be number two and hold three grand slams in the past year than be number one and not have any. I don't know what to do to be number one. I don't even care anymore.
"I think the girl, Dinara, who is number one, you can clearly see by her physique how hard she works. You can't get anywhere by not doing the best and not working your hardest.
"So I'm happy for her (but) I'm really excited that I won Wimbledon."
Safina, a finalist at the Australian and French Opens in 2009, has constantly had to defend her status but she did herself no favours when she was walloped 6-1 6-0 in the Wimbledon semi-finals by Venus.
According to WTA records, the result was the most lopsided win over a current world number one at a grand slam event.
In his last address as WTA chief, Larry Scott defended the system.
"The ranking system is designed sort of around king or queen of the hill - who is the strongest, most consistent performer over the year," he said.
"While I know it does stir debate, the one place it doesn't stir a debate is in the locker room. The players believe in that ranking system."
Reuters
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom