Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
wanandugu muhimbili sasa imekuwa chaka la vibaka,leo hii tukiwa tumekwenda kumuangalia binti mmoja amefanyiwa opareshen ya tumbo tukpaki pale kwenye parking za wodi ya wazazi,,gafla wakati tukirudi tulikuta watu wamezunguka gari moja kumbe jamaa kaibiwa laputopu,,na vyotee
vinavyochukuliwa..hamad baba mmoja akasema ngoja nikaangalie langu wakakuta wamenyofoa taa za nyuma,,,hamu ikaniishia nikasema mmmh nami ngoja niondoke kisirisiri,,loooooooohh
SETIMILA HIYOOOOOOOOOOOO
nikasema tuwe makini na pakini za muhimbili ukiuliza walinzi ati on ur own risk!!1jamani naomba muwe m,akiini
vinavyochukuliwa..hamad baba mmoja akasema ngoja nikaangalie langu wakakuta wamenyofoa taa za nyuma,,,hamu ikaniishia nikasema mmmh nami ngoja niondoke kisirisiri,,loooooooohh
SETIMILA HIYOOOOOOOOOOOO
nikasema tuwe makini na pakini za muhimbili ukiuliza walinzi ati on ur own risk!!1jamani naomba muwe m,akiini
Last edited by a moderator: