Wambugani
JF-Expert Member
- Dec 8, 2007
- 1,757
- 276
Kuna kundi la vibaka takriban 20 limezuka Arusha lenye mapanga, marungu na nondo kinapita katika Jiji la Arusha.
Jana alfajiri lilivamia nyumba moja Kwa Mrombo na kuwapora wapangaji vitu mbalimbali kama simu, fedha, laptop, redio, masanduku na wengine kujeruhiwa.
Wakazi wa Arusha chukueni tahadhari hasa kwa kutumia ulinzi shirikishi ili kukabiliana na jingi hili la kitaifa la vijana wasio na kazi.
Aidha kuepuka kununua vitu ambavyo vinadhaniwa kuwa ni vya uwizi.
Jana alfajiri lilivamia nyumba moja Kwa Mrombo na kuwapora wapangaji vitu mbalimbali kama simu, fedha, laptop, redio, masanduku na wengine kujeruhiwa.
Wakazi wa Arusha chukueni tahadhari hasa kwa kutumia ulinzi shirikishi ili kukabiliana na jingi hili la kitaifa la vijana wasio na kazi.
Aidha kuepuka kununua vitu ambavyo vinadhaniwa kuwa ni vya uwizi.