Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Alijisemea Mkiti wao siku ile ya mbayuwayu kwamba akutukanaye hakuchagulie tusi. Ili kumpooza wakambeba dogo wake
Hicho ndo CHAMA CHA MAGAMBA
Alijisemea Mkiti wao siku ile ya mbayuwayu kwamba akutukanaye hakuchagulie tusi. Ili kumpooza wakambeba dogo wake
Mwigulu Mchemba??? Profile plz
Mwigulu Mchemba??? Profile plz
Mkuu mbona sioni gamba walilovua? Au Gamba alikuwa Makamba? Mbona Makamba ametoka na kuingia? CCM hata wakivua gamba bado wanabaki na sumu tu kwani nyoka akivua gamba huwa haitoi sumu aliyonayo na CCM halikadhalika!!
Jamani tuwe objective kidogo, hapa CCM wamepiga bao kiaina. Kumweka Nape na January kwenye Sekretarieti (sp) wamepata hazina ya vijana wa kidotcom ambayo ni upgrade mara 50 ya iliyopita. Kama Nape na January wakiamua kufanya kazi kwa mapenzi ya nchi, na January akawaweka pembeni hao kina RA & EL, itasaidia sana.
Tuwape pongezi vijana wenzetu wanapopata nafasi, then uko mbele tutawajudge namna watakavyoact.
Hongera sana January na Nape.
Maana yake hawajiamini, hatuna chama tawala!ulikuwa sawa mkuu ila walitoa yale majina kupima upepo na walivyoona reaction ya JF dhidi ya meghji ndo wamefanya hayo mabadiliko madogo,
kumbuka ni siasa hii!!
Uko sahihi, Mwigulu ni kijana mchapakazi nami nilisoma naye japo alishinda kwa kuchakachua na hila nyingi sana ila ndiyo hivyo tena ushindi ni ushindi tu. Anatosha kwenye nafasi hiyoHuyu amemaliza masters yake ya uchumi hapo UDSM mwaka 2006 na amefanya kazi benki kuu toka hiyo 2006 mpaka mwaka jana alipoamua kuacha kazi na kwenda kugombea ubunge kwao huko Iramba Magharibi. Ni class mate wangu nimesoma naye hapo udsm, undergraduate na masters degree. Ni mchapa kazi sana sasa sijui system ya chama tawala itambadilisha au vipi, otherwise he is a good guy, ni kiongozi mzuri!
Hehe CCm ina wenyewe na wenyewe ndio hao wanarithi kutoka kwa baba zao,orodha ni ndefu akina Nchimbi,Hussein Mwinyi,Vita kawawa na dada yake,makongoro,Nape,january ,Ridwani,Miraji,Malima,lowasa ,du mkono umechoka ngoja nilaleHuku kuuma na kupuliza ndio kunakoiharibu CCM. January makamba anapaa kwa kasi ya rocket? Kafanya muujiza gani? ataweza haya majukumu yote? au ndio kumuachia ajikaange kwa mafuta yake mwenyewe? au kumpoza mzee anayeondoka? Chama kinapokuwa namna hii lazima uulize maswali! Akiondoka baba, mtoto anachukua nafasi, akiingia anatengeneza nafasi za watoto wake! Any way, wote tuna haki, ila naona haki za wengine kama zimezidi. CCM haina vijana wengine wenye uwezo? au ndio mtindo wa chiefdom. Son of chief, grandson of chief, chief chief!
Duh! Kumbe kuna watu bado wana imani na CCM? Kweli mazoea yana tabu!
January amweke pembeni RA? unaota mchana mchana hujui ukoo wa Makamba mwajiri wao mkuu ni nani.Jamani tuwe objective kidogo, hapa CCM wamepiga bao kiaina. Kumweka Nape na January kwenye Sekretarieti (sp) wamepata hazina ya vijana wa kidotcom ambayo ni upgrade mara 50 ya iliyopita. Kama Nape na January wakiamua kufanya kazi kwa mapenzi ya nchi, na January akawaweka pembeni hao kina RA & EL, itasaidia sana.
Tuwape pongezi vijana wenzetu wanapopata nafasi, then uko mbele tutawajudge namna watakavyoact.
Hongera sana January na Nape.
Inaonekana na Mwigulu Mchemba, naye ni kijana mwenzetu. Hongera Mwigulu na wewe, tunawatakia mafanikio mema.
Msimamo mnaotakiwa kusimamia ni very simple, Maslahi ya walalahoi yawe mbele siku zote na mafisadi wapingwe hata kama waliwasaidia uko nyuma kipesa.
kama hvyo ndivyo then ccm kweli imepania kuleta mabadiliko na upinzani ikiwemo chadema ukae chonjo,agenda zao zinaanza kufanyiwa kazi..si ajabu kuwa kama n2rHabari zinazoletwa na ka-nzi kutoka Dodoma baada ya kutulia na kufuatilia toka ndani kabisa zinadokeza kwa uhakika mkubwa ...
Katibu Mkuu mpya wa CCM ni W. Mukama kama ilivyoripotiwa awali
Naibu Katibu Mkuu (bara) - John Chiligati (mwanzoni ilitajwa ni Kinana)
Mambo ya Nje (kamati ya CCM) - January Makamba (akichukua nafasi ya Ben Membe)
Itikadi na Uenezi - Nape (kama ilivyoripotiwa)
Mbona N/Katibu Mkuu - Zanzibar hanuswi? Au kwa Zanzibar hakuna shida? Au Zanzibar wamejitoa na kuunda CCM yao? Ka-Inzi tuna nina kiu rukaruka haraka utuletee khabari kabla hatujaenda kazini