Huku kuuma na kupuliza ndio kunakoiharibu CCM. January makamba anapaa kwa kasi ya rocket? Kafanya muujiza gani? ataweza haya majukumu yote? au ndio kumuachia ajikaange kwa mafuta yake mwenyewe? au kumpoza mzee anayeondoka? Chama kinapokuwa namna hii lazima uulize maswali! Akiondoka baba, mtoto anachukua nafasi, akiingia anatengeneza nafasi za watoto wake! Any way, wote tuna haki, ila naona haki za wengine kama zimezidi. CCM haina vijana wengine wenye uwezo? au ndio mtindo wa chiefdom. Son of chief, grandson of chief, chief chief!