Delegate
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 331
- 201
‎@ WILLIAM'S EXPERIENCE: Kwako Mh. Mnyika, Taifa tunawalipa Chadema TZ. Sh. 150 Millioni kwa Mwezi, ili mtoe hoja nzito za kuikosoa Serikali ya CCM, wananchi tumekupa Ubunge ili utusaidie ukiwwa ndani ya bunge, huwezi kutusaidia Wananchi kwa kufukuzwa ndani ya bunge, au ukiwa nje ya bunge kama ulivyofukuzwa leo! IT IS SAD INDEED!!
- BUNGE NI MAHALI PAKUBWA SANA KWA MBUNGE KUPELEKA LUGHA ZA MITAANI KAMA ULIYOTUMIA LEO, CAN YOU IMAGINE KILA MBUNGE AKIJA NA LUGHA KAMA YAKO KUHUSU VIONGOZI WA CHAMA KISICHOKUWA CHAKE? LITAKUWA NI BUNGE AU KILABU CHA POMBE SAIGON? NOW RUDI KWA SPIKA UOMBE RADHI KWA UTOVU WA NIDHAMU, BAJETI KAMA INA TATIZO NI UDHAIFU WA WAZIRI WA FEDHA SIO RAIS, ALIYESEMA KUUNDA TAIFA LA NORTH NI NASSARI SIO MWENYEKITI WAKO, URUDI UOMBE RADHI MHESHIMIWA UMEPOTOKA! - William.
Naomba kujua kama huyu mtu ana uhusiano na Waziri Mkuu Mstaafu!
- BUNGE NI MAHALI PAKUBWA SANA KWA MBUNGE KUPELEKA LUGHA ZA MITAANI KAMA ULIYOTUMIA LEO, CAN YOU IMAGINE KILA MBUNGE AKIJA NA LUGHA KAMA YAKO KUHUSU VIONGOZI WA CHAMA KISICHOKUWA CHAKE? LITAKUWA NI BUNGE AU KILABU CHA POMBE SAIGON? NOW RUDI KWA SPIKA UOMBE RADHI KWA UTOVU WA NIDHAMU, BAJETI KAMA INA TATIZO NI UDHAIFU WA WAZIRI WA FEDHA SIO RAIS, ALIYESEMA KUUNDA TAIFA LA NORTH NI NASSARI SIO MWENYEKITI WAKO, URUDI UOMBE RADHI MHESHIMIWA UMEPOTOKA! - William.
Naomba kujua kama huyu mtu ana uhusiano na Waziri Mkuu Mstaafu!