Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
Kila kamba atakula kwa urefu wa Mbuzi wake !
Mwl. Nyerere alisema "Pesa ni matokeo ya kazi". Hawa wezi hawafanyi kazi bali wanaiba pesa za watu! Huu ni uhujumu uchumi.
Kila kamba atakula kwa urefu wa Mbuzi wake !
WanaJF baadaya kusoma maelezo na mapendekezo yenu katika "TOPIC" ya jana ilisomeka hii ndiyo hali halisi kwa heshima na unyenyekevu mkubwa naomba kumleta kwenu Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Wiliam Mganga Ngereja aka Mr.Megawat.kuwa ndiye mmiliki wa nyumba ya ghorofa kama tano hivi make sijaingia. Nyumba hiyo inajengwa jijini Mwanza katika mtaa wa Rufiji, kwa kibali namba 5955 na Planning Consent No_21390. Project ni construction of Commercial Building Plot No. 7 Block O, ndani ya Mwanza city. Inasomeka kwamba client ni Jakandom Investment Co. Ltd,Box No_7528 Mwanza.
Architect ni Mellow Architects wa jijini Mwanza, Quality surveyor ni A.M Quantity Surveying Consultancy na Main Contractor ni CF Builders Ltd wa Box No_ 1755 Mwanza.Kwa taarifa tu ni kwamba huyo client ni kupitia tu, huyo bwana ni mfanyabiashara wa samaki jijini mwanza wala hana hata uwezo wa kujenga jengo hilo. Ndugu zangu Waziri kujenga jengo kubwa kama hilo sio nongwa hata kidogo hoja hapa ni anapokuwa mtumishi wa umma tena katika wizara inayolalamikiwa na Watanzania walio wengi hapo ndipo maswali yanapoanzia. Tunamuomba Mhe Waziri ajitokeze hadharani kulitolea ufafanuzi jambo hili la sivyo patakuwa hapatoshi. Kwa kumbukumbu tu jengo hili limeanza kujengwa mwaka jana tu yaani linaota kama uyoga. NALETA KWENU WAUNGWANA
Lakini tuwe realistic, Ngeleja kawa waziri kwa miaka mingapi? Kwa mshahara na marupurupu ya waziri kweli atashindwa kujenga nyumba ya ghorofa tano? Ofisini kwetu sisi masecretary wanajenga nyumba zao wenyewe. Almost kila secretary ama ana nyumba au ana gari. Sasa itakuwa waziri jamani? Tena waziri ambaye amekaa madarakani kwa muda wa karibu miaka saba. Sasa mnataka hela anayopata afanyie nini? Ndiyo yale yale ya kumwita Sumaye fisadi kisa kanunua shamba la ekari arobaini. Au ukiwa mtumishi wa umma hutakiwi kufanya shughuli za maendeleo binafsi?
Wewe Gembeson Unatumia makamasi badala ya Ubongo kufikiri.
Wivu tu!, nyie kinawauma nini Mr.megawati kujenga gorofa?. Mbona mshahara wake na posho anazopewa spika zinatosha kujenga hata gorofa kumi?. sembuse hizo tano!.
Kila kukicha wajinga kama wewe wanazidi kujitokeza hapa,wewe unauona huu ni wivu sisi tunaumwa na kodi zetu walala hoi zinavyoliwa kinyemela na nyinyi mafisi, mbwa mwitu, manyang'au,bila huruma ya wenzenu wanavyoteseka,halafu yulisema mnasema ni wivu.Wivu tu!, nyie kinawauma nini Mr.megawati kujenga gorofa?. Mbona mshahara wake na posho anazopewa spika zinatosha kujenga hata gorofa kumi?. sembuse hizo tano!.
Kila kukicha wajinga kama wewe wanazidi kujitokeza hapa,wewe unauona huu ni wivu sisi tunaumwa na kodi zetu walala hoi zinavyoliwa kinyemela na nyinyi mafisi, mbwa mwitu, manyang'au,bila huruma ya wenzenu wanavyoteseka,halafu yulisema mnasema ni wivu.
Hivi umesahau *Ghadafi aliwaita watu wake mende na matokeo yake uliyaona kilichompata?*Mubarak pale Egypt nae si unamuona anapelekwa mahakamani pingu mkononi huku akiwa kwenye machela!*Bingu wa mutharika alianguka chini ndani ya ikulu lakini hata walinzi wake hawakuwa na huruma nae na matokeo yake alipelekwa afrika kusini akiwa tayari kisha kufa saa nyingi!
Jifunze kufikiri maana upepo umekwisha badilika kaa chonjo!
Lakini tuwe realistic, Ngeleja kawa waziri kwa miaka mingapi? Kwa mshahara na marupurupu ya waziri kweli atashindwa kujenga nyumba ya ghorofa tano? Ofisini kwetu sisi masecretary wanajenga nyumba zao wenyewe. Almost kila secretary ama ana nyumba au ana gari. Sasa itakuwa waziri jamani? Tena waziri ambaye amekaa madarakani kwa muda wa karibu miaka saba. Sasa mnataka hela anayopata afanyie nini? Ndiyo yale yale ya kumwita Sumaye fisadi kisa kanunua shamba la ekari arobaini. Au ukiwa mtumishi wa umma hutakiwi kufanya shughuli za maendeleo binafsi?
mmiliki wa nyumba ya ghorofa kama tano hivi [/COLOR]make sijaingia.
aiseeh! Hii inatakiwa itolewe na gazetini maana humu JF hawa wakubwa hawawezi kushtuka kabisa.
Realistic ipi unayoitaka kutuaminisha kwa mtumishi wa umma kwa hesabu zinazoeleweka jengo kama hilo ni halipungui bil 2.5 imagine ameanza kazi 30 yrs ago means average salary kwake ni 2.5bil/30yrs=83mill/year kwa mtumishi wa umma mshahara wa namna hii haujawahi kutokea. hapo ina maana imeinvest mapato yake yote bila kula , kusomesha , kuuguza nk unless aprove genuine bussiness afanyayo otherwise ni wizi wa mchana.Lakini tuwe realistic, Ngeleja kawa waziri kwa miaka mingapi? Kwa mshahara na marupurupu ya waziri kweli atashindwa kujenga nyumba ya ghorofa tano? Ofisini kwetu sisi masecretary wanajenga nyumba zao wenyewe. Almost kila secretary ama ana nyumba au ana gari. Sasa itakuwa waziri jamani? Tena waziri ambaye amekaa madarakani kwa muda wa karibu miaka saba. Sasa mnataka hela anayopata afanyie nini? Ndiyo yale yale ya kumwita Sumaye fisadi kisa kanunua shamba la ekari arobaini. Au ukiwa mtumishi wa umma hutakiwi kufanya shughuli za maendeleo binafsi?
Lakini tuwe realistic, Ngeleja kawa waziri kwa miaka mingapi? Kwa mshahara na marupurupu ya waziri kweli atashindwa kujenga nyumba ya ghorofa tano? Ofisini kwetu sisi masecretary wanajenga nyumba zao wenyewe. Almost kila secretary ama ana nyumba au ana gari. Sasa itakuwa waziri jamani? Tena waziri ambaye amekaa madarakani kwa muda wa karibu miaka saba. Sasa mnataka hela anayopata afanyie nini? Ndiyo yale yale ya kumwita Sumaye fisadi kisa kanunua shamba la ekari arobaini. Au ukiwa mtumishi wa umma hutakiwi kufanya shughuli za maendeleo binafsi?
Lakini tuwe realistic, Ngeleja kawa waziri kwa miaka mingapi? Kwa mshahara na marupurupu ya waziri kweli atashindwa kujenga nyumba ya ghorofa tano? Ofisini kwetu sisi masecretary wanajenga nyumba zao wenyewe. Almost kila secretary ama ana nyumba au ana gari. Sasa itakuwa waziri jamani? Tena waziri ambaye amekaa madarakani kwa muda wa karibu miaka saba. Sasa mnataka hela anayopata afanyie nini? Ndiyo yale yale ya kumwita Sumaye fisadi kisa kanunua shamba la ekari arobaini. Au ukiwa mtumishi wa umma hutakiwi kufanya shughuli za maendeleo binafsi?
Mimi siku zote napenda kuingia hivi!! Kama ifuatavyo
HII TZ MIMI NA IFANANISHA NA FRASH,MEMORYCARD NA EXTERNAL ZINGNE AMBAZO ZIMEJAA MA VIRUS
SASA IMEKUWA KILA SIKU NI KUDELETE TU! HAYA MATROJAN(kujivua gamba) MIMI NIONAVYO BORA KU FORMAT KULIKO KUSCAN NA MA ANT-VIRUS AMBAYO NI NOT UPDATED!!!! Sh***@@##zy kabisa
BORA KUIFORMAT KWA MGOMO NCHI NZIMA
TUANZE KUINGIZA FILES UPYA!
yaani nipo moto acha tu!
Mimi siku zote napenda kuingia hivi!! Kama ifuatavyo
HII TZ MIMI NA IFANANISHA NA FRASH,MEMORYCARD NA EXTERNAL ZINGNE AMBAZO ZIMEJAA MA VIRUS
SASA IMEKUWA KILA SIKU NI KUDELETE TU! HAYA MATROJAN(kujivua gamba) MIMI NIONAVYO BORA KU FORMAT KULIKO KUSCAN NA MA ANT-VIRUS AMBAYO NI NOT UPDATED!!!! Sh***@@##zy kabisa
BORA KUIFORMAT KWA MGOMO NCHI NZIMA
TUANZE KUINGIZA FILES UPYA!
yaani nipo moto acha tu!
Lakini tuwe realistic, Ngeleja kawa waziri kwa miaka mingapi? Kwa mshahara na marupurupu ya waziri kweli atashindwa kujenga nyumba ya ghorofa tano? Ofisini kwetu sisi masecretary wanajenga nyumba zao wenyewe. Almost kila secretary ama ana nyumba au ana gari. Sasa itakuwa waziri jamani? Tena waziri ambaye amekaa madarakani kwa muda wa karibu miaka saba. Sasa mnataka hela anayopata afanyie nini? Ndiyo yale yale ya kumwita Sumaye fisadi kisa kanunua shamba la ekari arobaini. Au ukiwa mtumishi wa umma hutakiwi kufanya shughuli za maendeleo binafsi?