wimbi la mbele
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 647
- 266
Wote walikuwa ma DG TANESCO
Similarities zao ni zipi na tofautii zao ni zipi na wali achieve nini pale TANESCO?
Je yupi kati ya hawa alikuwa na REALISTIC strategic plan ya kumaliza hili tatizo la umeme Tanzania?
Je ni kweli wote walikuwa wanapata taabu na wanasiasa?
Similarities zao ni zipi na tofautii zao ni zipi na wali achieve nini pale TANESCO?
Je yupi kati ya hawa alikuwa na REALISTIC strategic plan ya kumaliza hili tatizo la umeme Tanzania?
Je ni kweli wote walikuwa wanapata taabu na wanasiasa?