William Malecela: Watoto wa viongozi na uongozi wa taifa letu!

"Zed mambo mengine ni facts of life kwamba hata wewe ukiwa waziri siamini kwamba utataka watoto wako wasome bongo, wakati unao uwezo wa kuwasomesha nje kwenye elimu bora zaidi".

William kauli kama hizo ndizo zinazonifanya nihoji kama wewe ni mzalendo ama ni mwendelezo Malicelalism. Unatetea hoja ya mawaziri kusomesha watoto wao nje wakati watoto wa kulima wanakaa chini, sishangai mfumo mzima wa elimu umeharibiwa kwa sababu wahusika waliopewa jukumu la kusimamia elimu hawajali watoto wanasoma nje wao watajali kitu gani?
Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Hapo ndipo tatizo linapoanzania, na kazi zikitangazwa zinamtema aliyesoma bongo kwa cv na lugha.
Na ukweli unabaki kwamba watoto wa wakubwa wanabebwa na system na wala tusidanganyane hapa.
Kama wewe unakili elimu ya kitanzania hoi, na kila kukicha inasifiwa kwa kuwa hoi na hakuna anayefanya kitu, huu sio mtego wa watoto wa walala hoi kuishia kuwa washika mafile,
unataka kusema serikali haina uwezo wa kuboresha masiha ya mtanzania?
kwa nini hao mawaziri wanalipwa hiyo mishahara mikubwa kiasi hicho cha kumudu ada ya milion 18/= kwa mwaka,
huo kuwa matumizi ya serikali yanachangia kumkandamiza maskini, yaani uwaziri ni utajiri katika nchi masikini kama yetu
hapo uzalendo huko wapi?
mkuu kubebwa sio lazima kupewa nafsi hata kupatiwa ELIMU bora ambayo walala hoi hawawezi kuimubu kwa kutumia kodi zetu ni kubebwa pia,
kwa taarifa yako wengi ya hao watoto wanaosoma nje wakijifanya wanasomeshwa na baba zao ni waongo, ila wamechakachua scholarship,
sorry nimetoka kidogo nje ya mada lakini hiyo yenye red hapo chini imenigusa
mfano mzuri january makamba

- zed mambo mengine ni facts of life kwamba hata wewe ukiwa waziri siamini kwamba utataka watoto wako wasome bongo, wakati unao uwezo wa kuwasomesha nje kwenye elimu bora zaidi. Kosa kubwa tanzania tunashindwa kuelewa ni kwamba majuu wana system ambazo zinampa kila mwanandamu ku-explore potential zake kielimu, hakuna binadam ameumbwa bila talent hata moja, kwa hiyo mtoto ambaye baba yake ni kiongozi anafanya vibaya shule za chini hapa bongo, akienda majuu kule anatihaniwa na kuangaliwa wapi anafaaa na kuepelkwa huko, sasa talent yake ikiwa full explored automatically anaanza ku-perform kuliko hata his imaginations, sasa akirudi bongo tunashangaa aaghhh huyu darasani alikuwa zero, hapana ndio tofauti yetu bongo na majuu!

- kuhusu makongoro wengi inaelekea hamumjui vizuri, mimi ninakumbuka marehemu baba yake akimcheka kwamba he would never raise to anything in politics na yeye akimjibu kwamba ni kwa sababu ya kuwa mtoto wake ndio maana atakapata sana shida ku-raise above his name, lakini aliposhinda ubunge wa upinzani, mwalimu was the first one kumpa pongezi tena nakumbuka sana akumuita "mheshimiwa mbunge", na makongoro kwenye kampeni alimshambulia sana mwalimu kwamba amemrithisha urais mkapa, kwa hiyo kampeni za uchaguzi zilikuwa ni waste of time and money za taifa.

- lakini then came the political charges kwamba wapinzani wanamtumia tu makongoro, soon watamtupa which they did, sasa unaona matatizo ya mtoto wa kiongozi anapoamua kuwa kiongozi upinzani, sasa amerudi ccm he seems to make a lot of sense, lakini bado kuna mtoto wa baba wa taifa kutoka mostly wapinzani, let the man be himself as he is badala ya hizi title zisizo na faida kwake as a man na mwananchi,

- watoto wa viongozi waruhusiwe kuwa wananchi, wanapofanya mazuri na wanapofanya mabaya pia!


william @ nyc, usa.
 
Pole mkuu na pia hongera..Inaonekana hukuwahi kukutana na vitisho vya Ma-Prof wa bongo..

Hiyo ni mitihani ambayo wanapewa watu walioshindwa mtihani wa kwanza (first sitting) katika vyuo vikuu vya hapa Bongo. Pia inaweza kuchukuliwa kama special exam endapo mtu huyo atakuwa hakuwahi kufanya mtihani wa kwanza kwa sababu za msingi zilizomfanya auhairishe. Mara nyingi watu wanaoenda kwa kuchechemea (vilaza) walikuwa wanaokoka kwa kufanya hiyo mitihani ingawa kama ni Sup exam huwezi kupewa pass mark zaidi ya C!!!

Karibu Bongo Dar mkuu!!

Ahaaaa!! Kumbe ni mambo ya chuo kikuu. Nadhani pole ndo inahusu zaidi kwa sababu sijawahi kufikia hicho kiwango mwenzako na miye.

Licha ya hivyo nashukuru kwa kunielewesha. Nimejifunza jipya leo.
 
Nakuunga mkono kwenye red if you mean what you mean....nimesoma baadhi ya post wako wanaokuzungumzia vizuri kama fighter, no more to add kwa kuwa sikufahamu.....hatuna uwezo wa kupima nia ila utakuwa kapu moja na wengine kama utakuwa uko-driven na factors zinazowa-drive watoto wengine wa vigogo "kushiriki keki tuliyoizoea"

By the way, what is your opinion in a more general term kwa kuwaangalia watoto wenzako wa viongozi wengine? Are they like you? Maana hapa hatuzungumzii Willy tu, ila general as a system kwa watoto wa vigogo

- Mkuu siamini kwamba ni fair deal kuwahukumu watoto wote wa viongozi kwa sababu ya wachache kati yao walioharibu, binafsi ninasema hivi Mbowe ni mtoto wa kiongozi anayefanya kazi nzuri tu kwa taifa, Hussein Mwinyi ni mtoto wa kiongozi anayefanya kazi nzuri sana kwa taifa, Ridhiwani ni junior sana kwangu lakini he works with IMMA people ambao ni watu wangu sana na for a long time, ninawamini sana kwa work ethics, siamini kwamba wanaweza kumuajiri bila kuwa na uwezo wa kazi zao, maana lile ni shirika kubwa sana la kimataifa, last year nilipokuwa bongo walinialika nikaenda kujumuika nao kuangalia mechi moja ya World Cup pale ofisini baada ya masaa ya kazi, ni very serious people Ridhiwani hawezi kuwepo pale kama sio mudadilifu wa kazi zao!

- Lakini I understand kwamba amekuwa akirushiwa shtuma nyingi sana bila ushaidi, na in some cases washambulizi wake wanakosa busara kabisa, I mean baba yako anagombea urais ni kwa nini usimsaidie? Sasa yes kwa kufanya vile sio siri una beba maadui wa baba yako, lakini haikufanyi uwe less au more that others wananchi, unless kuna ushahidi wa kweli kuonyesha kwamba the kid is a thug, lakini to this day sijaona ushahidi serious unao-mlink Rdihiwani na ufisadi, I know he is a very dedicated man na family man too mcha Mungu sana, lakini kama kuna usahidi wa kwamba he is a thug uwekwe wazi, kuliko speculations!

- HOEWEVER: kuna watoto wa viongozi ambao ni tatizo sana na wanao waharibia wengine wote, lakini pia kuna watoto wa wananchi wa kawaida ambao pia ni tatizo sana so! cha muhimu ni sheria za jamhuri kuheshimiwa na wananchi wa Tanzania sasa wameanza kuamka sio siri ndio maana unakuta watoto wengi wa viongozi wanakuwa ni viongozi wa one term only!

William @ NYC, USA.
 
Kutokana na madudu na ufisadi uliofanywa na wazazi wa watoto wa vigogo, inakuwa vigumu sana wao kukubalika na majority ya wananchi. Hebua angalia kauli za mtu kama mzee Makamba, mipasho isio na maana kila kukicha hadi watu walifika point ya kumwona ni mwehu. Sasa leo hii mtu kama January hata kama atakuwa na nia njema ktk hoja zake do you think watuwataamini analolifanya?
Riz1 leo hii agombee say ubunge ama urais do u think majority ya wananchi watakuwa na imani nae?
Lakini at the same time say mtoto wa Magufuli agombee wadhifa wowote hapana shaka atapata support ya watu lukuki.
Sio huko bongo tu, hata hapa Jebb Bush was thinking to run against Obama in 2012 lakini jina la "Bush" ndio kikwazo kutokana na yaliotokea wakati wa utawala wa GW Bush na imebidi a-back off
All in all tumechoka na damu hiyo hiyo mara sijui Nnauye, Makamba, Malecela, Mwiru, Nyerere, Mwinyi etc. tunaomba koo nyingine na damu mpya sio upya wa magamba wakati inakuwa ni kama re-mix/reload
 
Ridhiwani wakati wa kampeni 2010 alipita Jimboni kwangu! Alimwahidi kijana mmoja ukuu wa Wilaya......nilicheka sana nilipoipata hiyo. Yule dogo alikuwa anapewa Hadi ripoti za maendeleo ya Wilaya as if naye ni kiongozi wa nchi.....sababu ya Jina Kikwete....


Mkuu Riz ni rais wako 2015. Kwani hukuwasikia UV-CCM Pwani walivyotumwa kutueleza kuwa Rais wetu ajaye anamjua Muungwana (Baba Riz)????
 
"Zed mambo mengine ni facts of life kwamba hata wewe ukiwa waziri siamini kwamba utataka watoto wako wasome bongo, wakati unao uwezo wa kuwasomesha nje kwenye elimu bora zaidi".

William kauli kama hizo ndizo zinazonifanya nihoji kama wewe ni mzalendo ama ni mwendelezo Malicelalism. Unatetea hoja ya mawaziri kusomesha watoto wao nje wakati watoto wa kulima wanakaa chini, sishangai mfumo mzima wa elimu umeharibiwa kwa sababu wahusika waliopewa jukumu la kusimamia elimu hawajali watoto wanasoma nje wao watajali kitu gani?
Chama
Gongo la Mboto DSM

Halafu hajatueleza waziri asiye mwizi ana kipato gani cha kusomesha mtoto wake Ulaya kwa karo ya karibia £20000 kwa mwaka?? Na hapo hapa aendelee kugawa mabati na simenti jimboni kwake?
 
Lakini huyo si bado bwa'mdogo sana. Atawezaje kuwa raisi 2015?

Mkuu hii ni bongo,

In bongo....kila kitu kina wezekana...Majority of those on the high table were not necessarily born great but rather made great....kwa hisani ya familia zao...Kwa hiyo sitashangaa Riz akiwa Prezida wetu 2015!
 
Hapo ndipo tatizo linapoanzania, na kazi zikitangazwa zinamtema aliyesoma bongo kwa cv na lugha.
Na ukweli unabaki kwamba watoto wa wakubwa wanabebwa na system na wala tusidanganyane hapa.
Kama wewe unakili elimu ya kitanzania hoi, na kila kukicha inasifiwa kwa kuwa hoi na hakuna anayefanya kitu, huu sio mtego wa watoto wa walala hoi kuishia kuwa washika mafile,
unataka kusema serikali haina uwezo wa kuboresha masiha ya mtanzania?
kwa nini hao mawaziri wanalipwa hiyo mishahara mikubwa kiasi hicho cha kumudu ada ya milion 18/= kwa mwaka,
huo kuwa matumizi ya serikali yanachangia kumkandamiza maskini, yaani uwaziri ni utajiri katika nchi masikini kama yetu
hapo uzalendo huko wapi?
mkuu kubebwa sio lazima kupewa nafsi hata kupatiwa ELIMU bora ambayo walala hoi hawawezi kuimubu kwa kutumia kodi zetu ni kubebwa pia,
kwa taarifa yako wengi ya hao watoto wanaosoma nje wakijifanya wanasomeshwa na baba zao ni waongo, ila wamechakachua scholarship,
sorry nimetoka kidogo nje ya mada lakini hiyo yenye red hapo chini imenigusa
mfano mzuri january makamba

- Well, sijui tatizo la Januari lipo wapi maana amepitia sehemu nyingi sana za kusoma bongo na hata amefanya kazi kwenye sehemu za ajabu sana kama kwenye kambi za wakimbizi, baada ya kuhangaika sana bongo akaweza kupata nafasi ya kwenda kusoma nje, akarudi bongo na kuwa msaidiziw a Rais, na sasa ni mmoja wa viongozi makini sana bungeni, mimi nafikiri anatakwia kwua mfano wa kuigwa maana ameonyesha kwamba ni competent, hasa ishus za umeme na nishati ninamuheshimu sana huko!

- Kwenye ukweli tukubali tu, badala ya kulalamika bila facts!, Tanzania sasa hatuko tena kwenye siasa za Ujama, sasa tumekwua mabepari ambao huongozwa na ubinafsi, na ndio unaongoza duniani so naona wengi mnachanganya sana mawazo ya kijamaa jamaa na siasa tulizonazo sasa za kibepari, badilikeni wandugu, sisi sio wajamaa tena!


William @ NYC, USA.
 
Usaidizi wa raisi mkuu unataka kutudanganya MAKAMBA Kama surname....haikuchangia? Mzee kwa taarifa yako huyo dogo si makini....ni mla rushwa mkubwa....
 
- Well, sijui tatizo la Januari lipo wapi maana amepitia sehemu nyingi sana za kusoma bongo na hata amefanya kazi kwenye sehemu za ajabu sana kama kwenye kambi za wakimbizi, baada ya kuhangaika sana bongo akaweza kupata nafasi ya kwenda kusoma nje, akarudi bongo na kuwa msaidiziw a Rais, na sasa ni mmoja wa viongozi makini sana bungeni, mimi nafikiri anatakwia kwua mfano wa kuigwa maana ameonyesha kwamba ni competent, hasa ishus za umeme na nishati ninamuheshimu sana huko!

- Kwenye ukweli tukubali tu, badala ya kulalamika bila facts!, Tanzania sasa hatuko tena kwenye siasa za Ujama, sasa tumekwua mabepari ambao huongozwa na ubinafsi, na ndio unaongoza duniani so naona wengi mnachanganya sana mawazo ya kijamaa jamaa na siasa tulizonazo sasa za kibepari, badilikeni wandugu, sisi sio wajamaa tena!


William @ NYC, USA.

Yusuf Makamba reloaded!!
 
by William Malecela on Saturday, May 14, 2011 at 1:56pm


@ NEW YORK CITY: Ni lazima tukubaliane kwanza kwamba watoto wa viongozi wa Tanzania ambao wengi wameanza kuingia kwenye siasa na kushika nafasi mbalimbali wana haki kabisa ya kushika nafasi yoyote ya uongozi wa taifa kama Watanzania wengine. Haki yao ya Kikatiba kuchaguliwa au kushiriki nafasi yoyote ya kisiasa kwa mujibu wa taratibu na sheria zilizopo haifutwi au kuondolewa kwa sababu ya nafasi za baba zao kwa taifa letu, sasa au huko nyuma.

-Tatizo kubwa ambalo lipo au niseme mawili ni kwamba kuna hisia kuwa watoto hao wanapewa nafasi hizo si kwa sababu ya kustahili wao wenyewe bali kwa sababu ya kubebwa au kutengenezewa mazingira ya kushika nafasi mbali mbali kwa sababu ya wazazi wao. Hili tumejionea likitokea kwa vyama vyote vya siasa nchini, yaani watoto na ndugu wa viongozi wakishiriki kwenye uongozi pia!

- Na pili, endapo wanashika nafasi ambazo zinahusiana na masuala ya utawala na sheria itakuwa vigumu sana kwa watoto hao kutengua au kuchukua hatu ambazo zitawaonesha kuwa wanafumua mambo yaliyoyofanywa na wazazi wao au hata kushindwa kuchukua hatua mbalimbali kwa sababu ya wazazi wao.

- Hivyo, hisia za haya mawili zinawafanya wananchi wengi kuona kuwa katika nafasi kadha wa kadha hasa za kisiasa ni vigumu sana kwa watoto kuwawajibisha wazazi wao - aidha kwa kusahihisha makosa yao au kuwachukulia hatua kama inapasa. Jambo la msingi ni kuweka msingi na utaratibu kuwa kila Mtanzania anapata nafasi ya kulitumikia taifa lake kwa kustahili kwake yeye mwenyewe na si upendeleo (uwe wa kidugu, kidini, kikabila, rangi au ushawishi).

- Na pale inapotokea kuwepo ushahidi wa upendeleo kutokana na nafasi za baba zao basi wananchi tujitokeze na kusema wazi palipopindishwa sheria, lakini sio kulalama tu bila sababu za msingi na hasa wivu, maana ni haki yao pia kushiriki taifa bila kuvunja sheria.

Ahsanteni.

William Malecela.

Well said bro!!! however we need to look on the leadership theories/approaches:-
I agree with you that the sons and daughters of ex- leaders they have their citizen rights for them to be leaders of tomorrow, however we need to ask ourselves how can some one become a leader?? is it because the father was a leader? or not? why?
First leadership as a divine right: priests, bishops,cardinals, chiefs, kings etc.
Second is Trait leadership: a person is born as a leader.
Third is leadership as situational lets say there is a serious crisis and it happen that a person happen to solve that crisis and automatically become a leader.
And lastly leadership as an interactive process between the leader and the led.
The problem is that in developing countries like Tanzania, sons and daughters tends to be leaders not because they deserve it, but simply because of favoritism? It does not make sense that it is a must that they should be leaders? Lets look a simple example in Zanzibar Aman Karume and Ali Karume?? Hussein Mwinyi etc.. In Tanzania January Makamba and Yusuph Makamba, Moses Nauye and Nape Nyauye, Vita Kawawa and ... Kawawa, etc etc etc etc... its because of this where by people start to query why only this? and not others? I can tell u there are smart guys who can be above these guys but since they cant break the vicious cycle it will take ages for them to be leaders. Unless its by situational approach such as coup de tar!!!
 
Duhh, nilidhani sie tu ndio tunaoonekana "vijicho" na kuumia peke yetu, hebu angalia wa-Nigeria wanavyoumia na kuulalamikia mfumo huu uliojikitia na kuzamisha mizizi ndani kabisa ya utawala ndani ya damu za viongozi

http://www.nigeriadailynews.com/pol...cians-are-taking-over-from-their-fathers.html
Children of Nigerian politicians are taking over from their fathers


In the image of the father: * Children of Nigerian politicians are taking over from their fathers. A fruit does not drop far from its tree. In Nigeria, children are being made in the image and likeness of their parents, following their footsteps in their professions.

It is common to see children of lawyers becoming lawyers like their parents. Medical doctors beget their type and now more frequently, Nigerian politicians are teaching their children the ropes of politics. Hence, an Iyabo Obasanjo became first, a commissioner and then a senator; Dimeji Bankole became a legislator and then Speaker of the House of Representatives.

Bukola Saraki and his sister Gbemi became governor and legislator respectively. Now, Bukola is set to become a senator just like his father Senator Olusola Saraki and his sister. The list of children of past governors, legislators and top politicians who are toeing the line of their parents is endless. Bianca Ojukwu, daughter of former Anambra Governor, C.C Onoh is now Special Assistant to President Jonathan.

Currently, the stage is set for the new dispensation commencing May 29. A new crop of politicians’ children contested in the last general elections under the influence of their fathers. Some won. Others lost.

In Lagos state, Deji Jakande, son of Alhaji Lateef Jakande , first civilian Governor of Lagos State, cut his political teeth first , as personal assistant to the former Lagos State Governor and national leader of ACN, Asiwaju Bola Tinubu. In the last elections, he contested for Somolu Federal Constituency on the platform of ACN and won. Also, the son of Jakande’s former deputy, Alhaji Rafiu Jafojo Wale Jafojo contested for Agege Constituency 1 for Lagos State House of Assembly on the platform of PDP but did not win.

Prince Sultan Adeniji-Adele , candidate of the ACN, for the Lagos State House of Assembly, and son of Prince Ademola Adeniji-Adele, former Chairman of Lagos Island LG and currently Commissioner for Youth, Sports and Social Development, followed the footsteps of his father and emerged successful.He will represent Amuwo-Odofin Constituency 1 in the Lagos Assembly. Aged 31, he is going to be one of the youngest legislators in the House of Assembly. Also in Lagos, former Lagos governor, Asiwaju Tinubu’s wife emerged candidate for Lagos Central senatorial district and won at the polls.

Jumoke Okoya Thomas, is also returning to the National Assembly for a third term. The daughter of Asoju Oba of Lagos, Chief Molade Okoya Thomas is representing the Lagos Island 2 Federal Constituency.

However, Babajide Obanikoro, son Nigeria’s High Commissioner in Accra , Ambassador Musiliu Obanikoro who was the PDP candidate for Eti-Osa State Constituency I was defeated at the polls.

Also in Lagos, the son of the National Publicity Secretary of ACN, Alhaji Lai Mohammed, Folajimi was not successful in his political bid. Folajimi Mohammed lost out in the Ikeja Federal Constituency race just as Bayo, son of Chief Dapo Sarunmi of PDP lost to the ACN candidate. Dayo Busira Alebiosu, the son of Otunba Busirat Alebiosu, who is currently representing the Kosofe Federal Constituency in the National Assembly will return having been re-elected for another term.

In Ogun, son of former Governor Olusegun Osoba,Olumide,won Abeokuta North/Obafemi Owode/Odeda Federal Constituency. He contested on the platform of the ACN.One of his opponents was Lekan Abiola son of the late MKO Abiola who lost at the primary.

Also in Ogun State, daughters of former President Obasanjo and Chief MKO Abiola slugged it out over the PDP ticket for Ogun Central Senatorial district. In the tussle were, Senator Iyabo Obasanjo-Bello, daughter of former President Olusegun Obasanjo and Hon. Lola Abiola-Edewor, daughter of the presumed winner of the annulled June 12, 1993 presidential elections, the late Bashorun Moshood Kashimawo Olawale Abiola. Iyabo Obasanjo-Bello, currently represents Ogun Central Senatorial District at the National Assembly.

Abiola-Edewor, was a member of the House of Representatives between 1999 and 2003 on the platform of Alliance for Democracy (AD). Iyabo Obasanjo wanted a re-election and defeated Abiola-Edewor in the primary to get the ticket of the party. But she lost the election, the Ogun Central Senatorial seat to Olugbenga Obadara.

Gboyega Adefarati, son of a former governor of Ondo State, Adebayo Adefarati, and ACN candidate for Akoko South-West and South-East Federal constituency lost the election.

In Oyo State, Lam Adesina’s son, Adedapo,ACN candidate for Ibadan South East/North East was not successful in his bid for the House of Representatives. He lost to the candidate of Accord Party (AP). Also in Oyo, late Chief Lamidi Adedibu son, Senator Kamardeen Adedibu was defeated by Chief Olufemi Lanlehin who contested on the platform of the Action Congress of Nigeria, ACN. Olufemi Adedibu is the Chairman of the Senate Committee on Industry and is currently representing Oyo South in the Senate. In Oyo state also, Jumoke Akinjide, daughter of Chief Richard Akinjide, (SAN), Second Republic Attorney-General and Minister of Justice and senatorial candidate of Peoples Democratic Party, PDP, lost to Hon. Ayo Adeseun who contested on the platform of the Action Congress of Nigeria, ACN.
The current Kwara State governor Bukola Saraki, son of Olusola Saraki, the second republic Senate leader would proceed to the Senate after handing over May 29 . However, his sister Gbemi Saraki , also daughter of Senator Olusola Saraki who was in the House of Representatives in 1999 and in 2003, was elected into the senate was not successful in her bid to succeed her brother as governor of Kwara State on May 29. Her party, the Allied Congress Party of Nigeria (ACPN), was not victorious in the polls.Another prominent Nigerian whose son contested last election was late General Sani Abacha. His son Muhammed contested governorship election in Kano on the platform of CPC. He lost.

In subsequent elections, more silver-spoon children of active and non-active politicians would contest elections in Nigeria. This means that Nigeria is on the verge of building new political dynasties.
http://www.nigeriadailynews.com/pol...cians-are-taking-over-from-their-fathers.html
http://www.nigeriadailynews.com/pol...cians-are-taking-over-from-their-fathers.html
http://www.nigeriadailynews.com/pol...cians-are-taking-over-from-their-fathers.html
 
Kutokana na madudu na ufisadi uliofanywa na wazazi wa watoto wa vigogo, inakuwa vigumu sana wao kukubalika na majority ya wananchi. Hebua angalia kauli za mtu kama mzee Makamba, mipasho isio na maana kila kukicha hadi watu walifika point ya kumwona ni mwehu. Sasa leo hii mtu kama January hata kama atakuwa na nia njema ktk hoja zake do you think watuwataamini analolifanya?
Riz1 leo hii agombee say ubunge ama urais do u think majority ya wananchi watakuwa na imani nae?
Lakini at the same time say mtoto wa Magufuli agombee wadhifa wowote hapana shaka atapata support ya watu lukuki.
Sio huko bongo tu, hata hapa Jebb Bush was thinking to run against Obama in 2012 lakini jina la "Bush" ndio kikwazo kutokana na yaliotokea wakati wa utawala wa GW Bush na imebidi a-back off
All in all tumechoka na damu hiyo hiyo mara sijui Nnauye, Makamba, Malecela, Mwiru, Nyerere, Mwinyi etc. tunaomba koo nyingine na damu mpya sio upya wa magamba wakati inakuwa ni kama re-mix/reload

- Strong then waachiwe wakasimame wenyewe na wananchi waamue kama wanawataka au hapana, lakini waaachiwe wa-exercise haki yao kikatiba bila kuhukumiwa kuhusu wazazi wao!

William @ NYC, USA.
 
Well said bro!!! however we need to look on the leadership theories/approaches:-
I agree with you that the sons and daughters of ex- leaders they have their citizen rights for them to be leaders of tomorrow, however we need to ask ourselves how can some one become a leader?? is it because the father was a leader? or not? why?
First leadership as a divine right: priests, bishops,cardinals, chiefs, kings etc.
Second is Trait leadership: a person is born as a leader.
Third is leadership as situational lets say there is a serious crisis and it happen that a person happen to solve that crisis and automatically become a leader.
And lastly leadership as an interactive process between the leader and the led.
The problem is that in developing countries like Tanzania, sons and daughters tends to be leaders not because they deserve it, but simply because of favoritism? It does not make sense that it is a must that they should be leaders? Lets look a simple example in Zanzibar Aman Karume and Ali Karume?? Hussein Mwinyi etc.. In Tanzania January Makamba and Yusuph Makamba, Moses Nauye and Nape Nyauye, Vita Kawawa and ... Kawawa, etc etc etc etc... its because of this where by people start to query why only this? and not others? I can tell u there are smart guys who can be above these guys but since they cant break the vicious cycle it will take ages for them to be leaders. Unless its by situational approach such as coup de tar!!!

- Mkuu safi sana, sasa iweke hii katika katiba ya Jamhuri itasomekaje?


William @ NYC, USA.
 
- Strong then waachiwe wakasimame wenyewe na wananchi waamue kama wanawataka au hapana, lakini waaachiwe wa-exercise haki yao kikatiba bila kuhukumiwa kuhusu wazazi wao!

William @ NYC, USA.

Of course ni haki yao kikatiba kuamua kugombea wadhifa wowote wautakao hawajakatazwa. The sad thing ni hao wazazi wao walikuwa hawaoni mbali i.e. ya kwamba madudu ama ufisadi wowote wanaojihusisha nao utatia doa/kikwazo ktk kuwa-convince wananchi wawaunge mkono hawa watoto wao. Times have changed nowadays sio kama zamani. Again, all in all we need new faces, new blood, new names, na sio magamba ambayo yana DNA ile ile
Gamba la baba lina DNA za ufisadi=Gamba la mtoto litakuwa na DNA za ufisadi
Remixes haitotusaidia.
 
mkuu unajua mishahara ya hao watu wanaofanya na wakimbizi? hacha kabisa kwanza hizo ni nafsi hadimu sana,
kwa kifupi Historia ya huyo bwana ni mfano tosha,
kazi kidogo mara masomo USA,
kamaliza shule anakuwa BOSI IKULU, maana sio kusema tu akapata kazi ikulu alikuwa bosi pale,
ina maana watu wote pale ikulu hakuna aliyekuwa na experience na qualification kuliko za JANUARY?
hata huko kwenye ubunge ilikuwa na mahali pa kupitia tu kushika wizara sema bahati mbaya GAMBA yakazidi (offside) kwa mzee
na MKULU wa kaya isitoshe watu walii - spot hiyo movement


- Well, sijui tatizo la Januari lipo wapi maana amepitia sehemu nyingi sana za kusoma bongo na hata amefanya kazi kwenye sehemu za ajabu sana kama kwenye kambi za wakimbizi, baada ya kuhangaika sana bongo akaweza kupata nafasi ya kwenda kusoma nje, akarudi bongo na kuwa msaidiziw a Rais, na sasa ni mmoja wa viongozi makini sana bungeni, mimi nafikiri anatakwia kwua mfano wa kuigwa maana ameonyesha kwamba ni competent, hasa ishus za umeme na nishati ninamuheshimu sana huko!

- Kwenye ukweli tukubali tu, badala ya kulalamika bila facts!, Tanzania sasa hatuko tena kwenye siasa za Ujama, sasa tumekwua mabepari ambao huongozwa na ubinafsi, na ndio unaongoza duniani so naona wengi mnachanganya sana mawazo ya kijamaa jamaa na siasa tulizonazo sasa za kibepari, badilikeni wandugu, sisi sio wajamaa tena!


William @ NYC, USA.
 
Back
Top Bottom