Habari za uhakika kabisa ni kwamba Le Mutuz Big show, Le Baharia @NY City then Dodoma City amejaza na tayari amerudisha forms za NEC -Taifa. Jamaa anapambana na vigogo akina Lukuvi, Mwigulu,Mukama,Nape,Chiligati,Makamba,Shigella, Membe, Lowassa, Bhanji na wengine wengi kuwania nafasi 10 tu! Big up Le Mutuz
Source: CCM-Lumumba
Source: CCM-Lumumba