William J. Malecela kugombea ubunge wa EAC

Nyepesi nyepesi zilizotanta mitaa ya Mvumi, Mtera, Tegeta na Upanga ni kuwa baharia Mzee sauti ya umeme aka bwana William J. Malecela anajiandaa kugombea ubunge wa afrika mashariki kupitia No 1.
William mwenyewe hajaonyesha nia ya kugombea ili tumsupport au hapana. Tungoje atakapotangaza rasmi kwamba anagombea ndiyo tuanze kutoa mawazo yetu. Nina uhakika mwenywe anaona kinachoendelea hap JF kuhusu nyepesi nyepesi hii.
 
- Wa-Kenya wamekuja under guidance ya mkataba wa Jumuiya, sasa swali je na sisi tumeenda Kenya under hizo guidance, na it has nothing na kuchanhamkia isipokuwa ni the guidance kama na sisi as Taifa tupo samba samba nalo!

Otherwise heshima mbele sana!

ES!

....This has nothing do with mkataba wa EAC, mkataba wa Jumuiya ya Afrika Mashariki unawapa Watanzania fursa za kuomba na kufanya kazi Kenya kama zinavyowapa fursa Wa-Kenya kufanya kazi Tanzania, na tena ni rahisi zaidi kwa Mtanzania kupewa kibali kufanya kazi Kenya kuliko kwa Mkenya kupewa kibali vya kufanya kazi Tanzania, tofauti iliyopo ni juu tu ya utayari wa Wa-tanzania kuchangamkia fursa zilizopo kwenye Jumuiya ukilinganisha na utayari walionao wa Kenya kwenye hilo, hasa kutokana na tofauti ya level ya kiuchumi na changamoto za kijamii katika nchi hizi...

...So soluhisho sio kulalamika uwepo wa Wa-Kenya nchini wala soko la pamoja bali ni sisi kama taifa kuhamasishana kuzichangamkia fursa tunazoweza kuzipata kwenye nchi zingine, sio Kenya tu bali pia Uganda, Rwanda, Burundi na South Sudan (soon), na kama itawezekana tuishawishi pia DRC of Kongo kujiunga kwenye Jumuiya hii, tukitambua kuwa kwa nature ya uchumi wa sasa, kujitenga sio option...
 
....This has nothing do with mkataba wa EAC, mkataba wa Jumuiya ya Afrika Mashariki unawapa Watanzania fursa za kuomba na kufanya kazi Kenya kama zinavyowapa fursa Wa-Kenya kufanya kazi Tanzania, na tena ni rahisi zaidi kwa Mtanzania kupewa kibali kufanya kazi Kenya kuliko kwa Mkenya kupewa kibali vya kufanya kazi Tanzania, tofauti iliyopo ni juu tu ya utayari wa Wa-tanzania kuchangamkia fursa zilizopo kwenye Jumuiya ukilinganisha na utayari walionao wa Kenya kwenye hilo, hasa kutokana na tofauti ya level ya kiuchumi na changamoto za kijamii katika nchi hizi...

...So soluhisho sio kulalamika uwepo wa Wa-Kenya nchini wala soko la pamoja bali ni sisi kama taifa kuhamasishana kuzichangamkia fursa tunazoweza kuzipata kwenye nchi zingine, sio Kenya tu bali pia Uganda, Rwanda, Burundi na South Sudan (soon), na kama itawezekana tuishawishi pia DRC of Kongo kujiunga kwenye Jumuiya hii, tukitambua kuwa kwa nature ya uchumi wa sasa, kujitenga sio option...

- Mkuu mbona unakubali unachokataa kuwa uchumi wetu hauko sawa, sasa tutauwaje na sarafu moja?

Es!
 
Nakubaliana na wewe lakini nina walakini na LE MUTUZ:(Nothing personal here IDs and anything else set aside)



Wewe unamjua Willie na awe na wewe kimaisha kivipi?..hajawa NASI?..wewe na nani?



Sasa hapa hueleweki kabisa, una tatizo na mtu au chama, na je unajua ni Chama gani, mkuu hapa maslahi ya taifa kwanza, vyama ni vitu vidogo sana kwenya issues zenye maslahi ya Taifa



Kujiamini ni kitu positive sana kwa mwanadamu kamili, kama wewe unadhani tunataka viongozi laini laini wasiojiamini, then uko jukwaa tofauti



Ni haki yake kama mtanzania kikatiba, na wewe kagombee



Hoja za hovyo hovyo huwa hazijibiwi hapa, kama vipi kaanzishe thread ya yester-politician tutakuja kukutana huko

Tempers!!!

But I liked this Field Marshall ES and Field Marshall ES like this.

Two likes from the same member for the same post?
 
- Mkuu mbona unakubali unachokataa kuwa uchumi wetu hauko sawa, sasa tutauwaje na sarafu moja?

Es!

Mkuu Es, salute. Kuwa na level moja ya uchumi sio prerequisite ya nchi kupata faida za monetary integration. By the way wala uchumi mnaongelea hapa sijui ule unaopimwa kwa pato la taifa au kwa viashiria maendeleo. Either way hatuhitaji tuwe na level moja ya uchumi ili tufaidike na sarafu moja, in fact I would argue otherwise.
 
Mkuu Es, salute. Kuwa na level moja ya uchumi sio prerequisite ya nchi kupata faida za monetary integration. By the way wala uchumi mnaongelea hapa sijui ule unaopimwa kwa pato la taifa au kwa viashiria maendeleo. Either way hatuhitaji tuwe na level moja ya uchumi ili tufaidike na sarafu moja, in fact I would argue otherwise.

- MgonjwaUkimwi, duh upo bado mkuu? Unajua looongtime sana, however kuhusu sarafu sasa hivi Duniani kuna mfano mmoja tu mkubwa sana na huwezi kuu-ignore yaani ule wa Greece na EU, Sasa hivi wote pamoja wanahangaika kwa sababu hakukuwa na a balanced economic between the Members States, matokeo ni jana tu Greece wamefikia hatua ya kupunguza pension za wananchi wake wote kwa 20%, thet is never unheard before kwa sababu pension inatakwia kuwa very strong kutokana na longterm investment yake sasa kama Taifa linafikia pahali inabidi lipunguze pension ujue kwamba ni seriously kaputi, sasa what do we do kuhakikisha kwamba TANZANIA kwa kuingia kwenye Sarafu moja na EAC hatukutwi na hayo?


- Kwa twakimu za EAC, inaonyesha some very diturbing numbers kwamba at-least wananchi wa EAC wapo kwenye level ya kipato cha USD $ 520 mothly, wewe na mimi tunajua kwamba this is not realistic unless kuna something missing in the report, Tunaweza kufaidika kuingia kwenye Sarafu moja kama Tanzania tutajitahidi sana kuziba the gap ya exchange ambapo sasa hivi One Kenyan Shilling ni Shillingi 20 yetu, that is big of a gap talking about integrating Monetary, I mean between madini yetu na utalii, tunaweza kabisa kuzipa hiyo gap cause itakwua ni makosa makubwa sana kuingia kwenye Sarafu moja huku tupo chini in Currency exchange kwa sababu hiyo automatically inawapa the higher money value a command over you on what to do na not what to do na your ecominy ili uwafikie, kweli unaamini kuna taifa Duniani linaweza kukusaidia ulifikie? I mean tunahitaji utafiti wa hali ya juuu sana na wa kisayansi kabla ya ku-commit ourselves na Sarafu moja ya EAC.


MUCH RESPECT!

eS!
 
Watoto wa madaktari hawautaki udaktari.........watoto wa mainjinia hawautaki uinjinia........watoto wa wanasiasa wanaulilia uanasiasa.............am puzzled!
 
Jamani hivi huyu Bw.Willy ana mapungufu gani haswa? maana mara kadhaa ikija hoja kumhusu haswa akihusishwa na suala zima la yeye kuwa kiongozi, wadau wengi hijitokeza kumponda kiasi cha kuonekana hafai kabisa kuwaongoza binadamu wenzake. Binafsi nimewahi kukutana naye kama mara mbili hivi. Kwa hiyo namfahamu kidogo sana. Sasa mnaomfahamu kwa undani tusaidieni mapungufu yake ili isije kuwa ni kumharibia mtu pasipo hoja za msingi.Itakuwa ni kutomtendea haki!
 
Watoto wa madaktari hawautaki udaktari.........watoto wa mainjinia hawautaki uinjinia........watoto wa wanasiasa wanaulilia uanasiasa.............am puzzled!

- Heshima yako mkuu, ni haki ya kila mwananchi wa Tanzania kugombea anything, iwe uongozi au chochote mradi havunji sheria naamini our Bill of Rights kwenye the Law of Our Land inajisema wazi, Otherwise hoja motivated na fear huwa zina-confess nothing but fear for nothing, unless tuna utafiti wa kisayansi kwamba watoto wa masikini ndio wanafaaa kulilia uongozi wa siasa za taifa, lakini sio watoto wa Viongozi!


- On that mifano ipo wazi hapa Tanzania kwamba watoto wa Viongozi na Familia zao, kuna wanaoweza na wasioweza kama vile wa masikini, Mwenyekiti wa Chadema ameonyesha kwamba kutoka kwenye familia ya uongozi sio tatizo na huku Zitto akionyesha kutoka kwenye familia masikini sio tatizo kwenye uongozi, so is mtoto wa Mheshimiwa Ndesamburo au mke wa Dr. Silaaa I mean Tanzania tumepigania sana kumaliza siasa za ubaguzi South
Of Africa vipi sasa tuna na sisi tunataka kuwa wabaguzi? It does not make a sense at all!


ES!
 
-
- Kuhusu wasi wasi na Kenya ni kwa sababu ya history ambayo ikpo wazi sana kwamba tumekwua tukivuatana sana kwenye uchumi na kwa muda mrefu sana na honestly wana mkono mzito sana kwenye kuvunjika kwa Jumuiya in the first place, ndio maana ninataka kuwa makini nao sana on their agenda na EAC!


MUCH RESPECT!

eS!

Hiyo nyekundu inapiga sana kelele, anyways...

Turudi kwenye issues,

Nina maswali ya msingi ambayo majibu yake yananisaidia sana katika kusogeza hii agenda mbele

1. EAC ina wabunge wangapi kutoka Tanzania
2. Muundo wa Bunge la EAC umekaaje
3. Wanachaguliwa kila baada ya muda gani
4. Wana report kwa nani
5. Wanafanyaje kazi na bunge la jamhuri ya muungano
6. Wanafanyaje kazi na bunge la SADC
7. Na jee issues za EAC zina implications gani SADC

Tuanze na hapo kwa ufupi, kwa kuwa waswahili wanasema miruzi mingi hupoteza mbwa

Sr.
 
- Heshima yako mkuu, ni haki ya kila mwananchi wa Tanzania kugombea anything, iwe uongozi au chochote mradi havunji sheria naamini our Bill of Rights kwenye the Law of Our Land inajisema wazi, Otherwise hoja motivated na fear huwa zina-confess nothing but fear for nothing, unless tuna utafiti wa kisayansi kwamba watoto wa masikini ndio wanafaaa kulilia uongozi wa siasa za taifa, lakini sio watoto wa Viongozi!


- On that mifano ipo wazi hapa Tanzania kwamba watoto wa Viongozi na Familia zao, kuna wanaoweza na wasioweza kama vile wa masikini, Mwenyekiti wa Chadema ameonyesha kwamba kutoka kwenye familia ya uongozi sio tatizo na huku Zitto akionyesha kutoka kwenye familia masikini sio tatizo kwenye uongozi, so is mtoto wa Mheshimiwa Ndesamburo au mke wa Dr. Silaaa I mean Tanzania tumepigania sana kumaliza siasa za ubaguzi South
Of Africa vipi sasa tuna na sisi tunataka kuwa wabaguzi? It does not make a sense at all!


ES!

Mheshimiwa,

Sina tatizo na uhuru wa mtu binafsi ila hoja yangu ni kwa nini hii career patronage ni kubwa mno kwenye siasa kuliko fani zingine?

BTW: William looked great here with Joe!!!

401172_3173684740261_1209820481_33466017_1061006228_n.jpg
 
Jamani hivi huyu Bw.Willy ana mapungufu gani haswa? maana mara kadhaa ikija hoja kumhusu haswa akihusishwa na suala zima la yeye kuwa kiongozi, wadau wengi hijitokeza kumponda kiasi cha kuonekana hafai kabisa kuwaongoza binadamu wenzake. Binafsi nimewahi kukutana naye kama mara mbili hivi. Kwa hiyo namfahamu kidogo sana. Sasa mnaomfahamu kwa undani tusaidieni mapungufu yake ili isije kuwa ni kumharibia mtu pasipo hoja za msingi.Itakuwa ni kutomtendea haki!

- Binadam wote tuna mapungufu, lakini inapokuja kwenye uongozi ni muhimu sana ukayaoanisha mapungufu ya Kiongozi mtarajiwa na uwezo wake wa kuongoza hoping kwamba unafahamu na una ukweli, kwa kusoma sana humu JF kosa lake kubwa sana lilikwua kuanzisha Tawi Jipya na la kwanza la CCM kule New York, USA baada ya Miaka 50 ya Uhuru wa Taifa ni tokea pale akaanza kutukanwa sana humu, otherwise aliposhambuliwa na the very CCM kwa kuhusika na umiliki wa JF alit6etewa sana na hii hiii JF, so ni siasa na mchezo wake mchafu at work, ninaamini akiingia Chadema leo, yatakwua maneno tofauti sana! ha! ha! ha! ha!


- Otheriwise, ngoja nijaribu kugusa moja ya tuhuma zake:

Muhuni - Ukweli ni kwamba hajawahi kunywa pombe, hajawahi kuvuta sigara, wala sio fuska na records zipo wazi, kwamba anaenda Casino na Muziki, then linakwua ni suala kubwa kuliko kwamba wamiliki wa Casinos na Bendi za miziki ni wahuni na hawafai kuwa Viongozi wa Taifa? Ukweli ni kwamba sio kweli kwa sababu Mh. Mbowe anamiliki Casino na ni kiongozi saafi sana, tuna Mh. Asha Baraka anamiliki bendi mbona ni mjumbe bora sana NEC ya CCM, Mh. Kapuya anamiliki bendi mbona ni Mbunge anyewafaa sana wananchi wake na taifa, ndio ninasema ni siasa za majitaka na chuki bila facts na ni aibu kwa Great Thinkers kujiingiza kwenye siasa za namna hiyo kwa sababu inaishia kujishusha hadhi wenyewe ambayo some of us worked so hard hapa, mpaka tume-risk ourlives kuipa JF credibility tuliyonayo leo.


- Alikuwa baharia hakusoma: Ukweli ni kwamba amesoma sana mpaka kuwa Asstant Engineer wa Meli Belgium na
China, kule US again akasoma tena Degree mbili. Then kuna alikuwa anaendesha malori hiyo ilikuwa ni nature ya kazi aliyokuwa akiifanya NYC kwa miaka 23 kwenye kampuni moja, huwezi kubeba poison kwenye kikapu na kwenda kui-disposal ni lazima uisafirishe kwenye special trucks na uwe na ujuzi mkubwa sana kielimu, amam sivyo utaleta madhara wka jamii, we can go on and on lakiini kwenye uongo ukweli huijitenga!


Es!
 
Hiyo nyekundu inapiga sana kelele, anyways...

Turudi kwenye issues,

Nina maswali ya msingi ambayo majibu yake yananisaidia sana katika kusogeza hii agenda mbele

1. EAC ina wabunge wangapi kutoka Tanzania
2. Muundo wa Bunge la EAC umekaaje
3. Wanachaguliwa kila baada ya muda gani
4. Wana report kwa nani
5. Wanafanyaje kazi na bunge la jamhuri ya muungano
6. Wanafanyaje kazi na bunge la SADC
7. Na jee issues za EAC zina implications gani SADC

Tuanze na hapo kwa ufupi, kwa kuwa waswahili wanasema miruzi mingi hupoteza mbwa

Sr.

- Mkuu a great thinker anatakwia kujua haya na sio kutafutiwa na wengine si ni common sense tu kidogo sana!

Es!
 
Mheshimiwa,

Sina tatizo na uhuru wa mtu binafsi ila hoja yangu ni kwa nini hii career patronage ni kubwa mno kwenye siasa kuliko fani zingine?

BTW: William looked great here with Joe!!!

401172_3173684740261_1209820481_33466017_1061006228_n.jpg

- Nice pic yaani kwanza atleast inaonyesha history ya the subject na pili inaonyesha a typical 26 years old kids wakii-enjoy life to the fullest, badala ya kujikalia tu na kuwa wateja wa unga, au walevi hapo juu ni Vijana wawili wakiwa na umri wa miaka 26 DC Washington, Joe Kusaga sasa ni Mmiliki wa Clouds na William, huenda akaingia kwenye ubunge, au na Joe naye Umiliki wA cLOUDS ALIPEWA NA BABA YAKE?

- i MEAN THANKS KWA the picture I mean inaonyesha jinsi hawa Vijaana walivyotoka mbaali sana na maisha katika life struggle, mkuu ubarikiwe sana na hii pic!


Es!
 
- Mkuu a great thinker anatakwia kujua haya na sio kutafutiwa na wengine si ni common sense tu kidogo sana!

Es!

Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Tanzania, wamepingwa kuwa kazi zao hazionekani na wamekuwa wakionekana wakati wa kuomba kura tu.


Kauli hiyo ilitolewa na Mbunge wa Karagwe (CCM), Gosebert Blandes wakati akichangia hotuba ya bajeti ya makadiro ya matumizi Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa mwaka 2011/2012.


"Hivi hawa wabunge wa Afrika Mashariki tunaowachagua kazi yao ni nini?" alihoji na kuongeza: "Tunawaona wanakuja humu ndani kuomba kura wakishamaliza wanapotea, hatujui kinachoendelea, hatujui wanafanya kazi gani na hakuna Mtanzania hata mmoja anayejua kuna mbunge wa Afrika Mashariki kutoka Tanzania."


"Watakuja hapa wanapitapita, kipindi cha uchaguzi kikikaribia ndio wanakuja kuomba kura. Mheshimiwa Waziri (Waziri wa Afrika Mashariki Samuel Sitta), nilikuwa naomba nipendekeze ni vizuri wakawezeshwa ili wawe wanakuja hapa bungeni tunafanya majadiliano nao, tuzungumze watueleze tulichowatuma kule kimefikia wapi," aliongeza.


Alisema: "Hata itafika miaka mitano hata Waziri wa Afrika Mashariki hatujui kule ameenda kufanya nini. Mheshimiwa Mwenyekiti nilikuwa naomba Waziri wa Afrika Mashariki uwe unatenga muda wakati wa vikao vya Bunge, utujulishe mambo ambayo yametokea kule Afrika Mashariki angalau uwe unaadress (unalihutubia) Bunge hata mara moja ama mbili kwa mwaka vinginevyo, Mheshimiwa Waziri hatuoni kazi yako na hatujui ni kitu gani kinafanyika," alisema Blandes.


Naye Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Mary Mwanjelwa, alisema wamekuwa hawapati taarifa za mabunge wanayokaa ya Afrika Mashariki


"Na hili ndilo Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, sasa ningeomba tujue uwiano wa yale yote wanayojadili kwenye Bunge la Afrika Mashariki. Uwiano wake ukoje? Na sheria wanazopitisha tuzielewe tuone, je, kuna relevant (uhusiano) yeyote?."


Kuhusu suala la shirikisho, Mwanjelwa alihoji kuhusiana na kushirikishwa kwa wabunge wa Afrika Mashariki.


CHANZO: NIPASHE
 
- Nice pic yaani kwanza atleast inaonyesha history ya the subject na pili inaonyesha a typical 26 years old kids wakii-enjoy life to the fullest, badala ya kujikalia tu na kuwa wateja wa unga, au walevi hapo juu ni Vijana wawili wakiwa na umri wa miaka 26 DC Washington, Joe Kusaga sasa ni Mmiliki wa Clouds na William, huenda akaingia kwenye ubunge, au na Joe naye Umiliki wA cLOUDS ALIPEWA NA BABA YAKE?

- i MEAN THANKS KWA the picture I mean inaonyesha jinsi hawa Vijaana walivyotoka mbaali sana na maisha katika life struggle, mkuu ubarikiwe sana na hii pic!


Es!

Niliweka BTW Mkuu.......kutofautisha uhusiano wa picha na hoja..........Sina hakika kama Joe alirithishwa CLOUDS na baba yake ila najua Marehemu Mzee Kusaga alikuwa Managing Director wa Clouds......Nikikutana na Justin ntamuuliza
 
Back
Top Bottom