Ajamaliza kifungo chake JF...Kila la heri Will Dar
Hayuko kwenye kundi lako nini? Maana magamba mna makundi mengi la sivyo usingekuwa wa kwanza kumuumbua.
Last edited by a moderator:
Ajamaliza kifungo chake JF...Kila la heri Will Dar
Hafai kwa lolote kama ndiye aliekuwa anatoa star tv leo asubuhi utetezi wa ovyo kuhusu udhaifu wa rais.
Ananidhamu ya woga na hajiamini na haamini anachokitetea.
William J. Malecela
MY FB PEOPLE THANK SANA KWA PRAYERS, LEO NIMECHAGULIWA KUWA MJUMBE WA KUWAKILISHA WAZAZI WA KATA YANGU KIVUKONI, KWENYE MKUTANO MKUU WA MKOA NA PIA KUWA KATIBU WA ELIMU, MAZINGIRA, NA PIA KATIBU MWENEZI WA KATA YA KIVUKONI, AMBAYO INAHUSISHA HATA IKULU NA VIONGOZI WENGI WAKUU WALIOPO MADARAKANI NA WALIOSTAAFU, AMBAO WENGI WAO WALIKUWEPO LEO NA WAKANIPA KURA ZAO; MY CAMPAIGN WAS GREAT NA NAWASHUKURU WOTE HASA FB PEOPLE KWA YOUR PRAYERS; IN TWO WEEKS NITAINGIA ULINGONI TENA KUGOMBEA UPANDE WA CCM PIA: LOVE YAH SANA PEOPLE NA KIDUMU CCM!! - Le Mutuz!!
Willy usitusumbue bwana kila siku sala tu, kufanikiwa kwenyewe hufanikiwi, mungu anaangalia mtu rohoni, inaonekana huna dhamira ya dhati ya kutumikia watanzania ndio maana sala zetu zinadunda. Tulia acha kupaparikia madaraka