mwisho atagombea mwenyekiti wa kijiji cha kwao huko dodoma!
[h=6]William J. Malecela
[/h][h=6]MY FB PEOPLE THANK SANA KWA PRAYERS, LEO NIMECHAGULIWA KUWA MJUMBE WA KUWAKILISHA WAZAZI WA KATA YANGU KIVUKONI, KWENYE MKUTANO MKUU WA MKOA NA PIA KUWA KATIBU WA ELIMU, MAZINGIRA, NA PIA KATIBU MWENEZI WA KATA YA KIVUKONI, AMBAYO INAHUSISHA HATA IKULU NA VIONGOZI WENGI WAKUU WALIOPO MADARAKANI NA WALIOSTAAFU, AMBAO WENGI WAO WALIKUWEPO LEO NA WAKANIPA KURA ZAO; MY CAMPAIGN WAS GREAT NA NAWASHUKURU WOTE HASA FB PEOPLE KWA YOUR PRAYERS; IN TWO WEEKS NITAINGIA ULINGONI TENA KUGOMBEA UPANDE WA CCM PIA: LOVE YAH SANA PEOPLE NA KIDUMU CCM!! - Le Mutuz!![/h]
huyu ana tamaa sana ya madaraka..yaani amuwakilishe mzazi yupi?yaani wewe ni mzazi william?kheeee
Huyu siyo tena Mkazi wa kata ya Segerea?
Hivi profession yake ni nini? Najua hobby zake ni music, totoz. Na kinachomfanya ajiamini kuwa ni kiongozi ni nini? Embu mnaomfahamu tupeni japo historia yake kiuongozi