LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,123
- 9,168
daaa mm namiaka zaidi ya 25 sijawahi umwa ugonjwa wowote .yaani sana sana ni mafua na kifua kwa mbaali sababu ya kufanya zoezi hasa msimu wa baridi shauri ya kukimbia kwenye baridi.
ila cjui marelia homa na taka taka zingine huwanazisikia bombani.
nanimekuwa naota sana ndoto na mara ya mwisho nimeota Leo ndoto nilipofika tu kijiweni nikamsimulia niliyemuotea .ilihusu mambo ya lugombea nafasi za uongozi nilipo maliza tu alaniambia nashukuru sana mdogo wangu kwa bar aka zako ni kweli nagombania nafasi ya uongozi.
ila cjui marelia homa na taka taka zingine huwanazisikia bombani.
nanimekuwa naota sana ndoto na mara ya mwisho nimeota Leo ndoto nilipofika tu kijiweni nikamsimulia niliyemuotea .ilihusu mambo ya lugombea nafasi za uongozi nilipo maliza tu alaniambia nashukuru sana mdogo wangu kwa bar aka zako ni kweli nagombania nafasi ya uongozi.